OnePlusOne Phone needed.

g.n.n

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
407
49
Hi guys, anyone hapa Bongo ambaye ameshakuwa na access na hii simu msaada tafadhali, nimecheki ebay sijaona seller anaeleta Bongo. Kama umefanikiwa kupata dis phone au kuna namna naweza pata plz msaada wako ni wa muhimu sana.
 
Duh kirahisi namna hiyo? Labda uuziwe kwa bei ghali zaidi ya alionunulia maana sidhani kama mtu atapanga foleni halafu akuuzie wewe.

Anyway goodluck pengine unaweza pata asie na kazi nayo
 
Back
Top Bottom