Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Kutembea na JF member sawa na kunyea kambi. Kwanza kutakuwa na kukomoana sana, kila mmoja akionyesha kuwa anayoyaandika JF anamaanisha, na asizaraulike. Mwisho wa siku atakayeshindwa kwenye hiyo mech, na jukwaa analikimbia... Hata hivo kuna watu humu mi natamani siku moja nikutane nao head to head, ili nione kama utaalamu wao huku ni ukweli... lol