TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,703
- 10,168
Bujibuji weeee noma
Hivi humu watu huwa wana date??? lol mbona makubwaBjBj experience naamini hua tofauti hivyo na outcome tofauti... kama it was a great one nite stand i guarantee hizo PM ndo kabisaaa... ikiwa tofauti unakwepa hata kuchangi post ambayo kapita mwenzio....lol
Unaingia na ID mpya:biggrin1::biggrin1:
Leo nimeingia kwenye hii thread more than four times, really haichoshi.
Hivi humu watu huwa wana date??? lol mbona makubwa
Humu siku hizi mna misimamio endelevu?
Enzi zetu haikuwa hivi!
Uki date na mtu unawezaje tena kuwa free kucomment? kuna thread ziko so embarasd kama mko wote mnachangia inakuwa tabu kidogoKaribu tule date
Ohhh maskini alidate na mtu wa humu akamtosa? duu mpe pole sanaGaga watu wanadate ndio one of my friend amewahi admit hio kitu na ilikua a terrible mistake...
One night stand, 2 nights stand, 3 nights stand, 4 night stand, 5 months stand =?
Ohhh maskini alidate na mtu wa humu akamtosa? duu mpe pole sana
Ina maana walikutana humu au nje ya JF mie niko fitiWalidate wapi... ilikua one horrible experience ya one nite stand... en ways tuache tu... I believe you are well and good Gaga.
Hii date ya arabuni??Karibu tule date
Ina maana walikutana humu au nje ya JF mie niko fiti
ilikuwaje?