Once bitten, twice shy...je historia itajirudia?

Once bitten, twice shy...je historia itajirudia?

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,580
Reaction score
23,915
Historia ni kumbukumbu, historia ni mwalimu, historia haidanganyi, historia hutahadharisha na historia hutoa funzo na hujirudia baada ya muda fulani na katika nyakati tofauti.

Flashback: Mwaka 2011 dawa ya ajabu ilidaiwa kupatikana. Hii dawa ilidaiwa kutibu si tu ugonjwa moja, hapana, dawa ilitibu magonjwa yote mwilini na kuuacha mwili ukiwa na afya tele.

Wataalamu walionya sana kuhusu athari za dawa hii lakini walipuuzwa na wagonjwa walimiminika kijijini Samunge kwa nabii aliyedai kaoteshwa na mungu Babu wa Loliondo, Ambilikile Masapila.

Hospitali zilikimbiwa na wagonjwa wa aina zote na juhudi za madaktari kuwazuia hazikufanikiwa. Wapo waliosafiri kwa ndege, waliosafiri kwa magari, waliosafiri kwa baiskeli na waliotembea kwa miguu.

Watu wenye maradhi ya aina zote, wanawake kwa wanaume bila kujali dini, jinsia au rangi, bila kujali uwezo wa kifedha ama nyadhifa, bila kujali umri wao,walimiminika kuwahi kikombe, kikombe cha babu!

loliondo5.gif ... loliondo1.gif ... loliondo8.gif ... loliondo9.gif ... loliondo7.gif

Magufuli apeleka Sh1bn Loliondo

WAZIRI wa Ujenzi wa wakati huo, Dk John Magufuli, naye alitua Kijijini Samunge kwa mchungaji Ambilikile Masapila ili aweze kupata kikombe chake cha dawa kama anavyoonekana hapo juu. Baada ya kupata dozi yake Waziri Magufuli alitangaza neema ya kujengwa kwa barabara kuu inayoingia kijijini hapo.

Magufuli aliuambia umati wa watu uliokuwa ukisubiri zamu yao kunywa dawa kuwa, Serikali ingetumia Sh1.05 bilioni kwa ajili kutengenenza barabara hiyo ili iweze kupitika wakati wote kwa lengo la kuwarahisishia usafiri wanaokwenda kunywa dawa kwa Babu Masapila.

Je ni Watanzania wangapi walikufa kwa kuacha kutumia dawa za hospitali na kukimbilia kikombe cha Babu?

Swali fikirishi: Je hali ingekuwaje wakati huo kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania angekuwa ni John Magufuli?

Presently: Je kwa dawa ya COVID-19, historia itajirudia?
 
Taifa linaangamia kwa kukosa maarifa mtu anasema watu hawaumwi corona

Halafu anataka kutuma ndege ya serikali kufuata dawa ya corona kwa kutumia mamilioni ya pesa ya mafuta kwenda kuleta majani ambayo miti yake hata hapa bongo ipo.

Wakati madactari hawana Vifaa halafu unaleta dawa anywe nani kama nchi haina wagonjwa?

Karne ya 21 taifa bado linawekeza kwenye mizizi na miti shamba baada ya kununua vifaa hospital what shame!

'The Man Has Serious Mental Problem'
 
Historia ni kumbukumbu, historia ni mwalimu, historia haidanganyi, historia hutahadharisha na historia hutoa funzo na hujirudia baada ya muda fulani na katika nyakati tofauti.

Flashback: Mwaka 2011 dawa ya ajabu ilidaiwa kupatikana. Hii dawa ilidaiwa kutibu si tu ugonjwa moja, hapana, dawa ilitibu magonjwa yote mwilini na kuuacha mwili ukiwa na afya tele.

Wataalamu walionya sana kuhusu athari za dawa hii lakini walipuuzwa na wagonjwa walimiminika kijijini Samunge kwa nabii aliyedai kaoteshwa na mungu Babu wa Loliondo, Ambilikile Masapila.

Hospitali zilikimbiwa na wagonjwa wa aina zote na juhudi za madaktari kuwazuia hazikufanikiwa. Wapo waliosafiri kwa ndege, waliosafiri kwa magari, waliosafiri kwa baiskeli na waliotembea kwa miguu.

Watu wenye maradhi ya aina zote, wanawake kwa wanaume bila kujali dini, jinsia au rangi, bila kujali uwezo wa kifedha ama nyadhifa, bila kujali umri wao,walimiminika kuwahi kikombe, kikombe cha babu!


Magufuli apeleka Sh1bn Loliondo

WAZIRI wa Ujenzi wa wakati huo, Dk John Magufuli, naye alitua Kijijini Samunge kwa mchungaji Ambilikile Masapila ili aweze kupata kikombe chake cha dawa kama anavyoonekana hapo juu. Baada ya kupata dozi yake Waziri Magufuli alitangaza neema ya kujengwa kwa barabara kuu inayoingia kijijini hapo.

Magufuli aliuambia umati wa watu uliokuwa ukisubiri zamu yao kunywa dawa kuwa, Serikali ingetumia Sh1.05 bilioni kwa ajili kutengenenza barabara hiyo ili iweze kupitika wakati wote kwa lengo la kuwarahisishia usafiri wanaokwenda kunywa dawa kwa Babu Masapila.

Je ni Watanzania wangapi walikufa kwa kuacha kutumia dawa za hospitali na kukimbilia kikombe cha Babu?

Swali fikirishi: Je hali ingekuwaje wakati huo kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania angekuwa ni John Magufuli?

Presently: Je kwa dawa ya COVID-19, historia itajirudia?

Hiyo yako ni "wishful thinking".
 
Umejenga Hoja nzuri historian itajiludia kwa Vilaza wa Lumumba / Chadema inawanachama Mil 6 nawote niwasomi wakunzia Diploma hadi PHD kwahiyo ngoja wafu wazike wafu wao.
 
Wewe lazima utakuwa moja katika watu waliomiminika kijijini Samunge kubugia kikombe cha babu. Cha ajabu ni kwamba mpaka leo ugonjwa uliokuwa ukiwasumbua haujulikani na kama mlipona!
Alhamdulillah sipajuwi wala sijafika na waliokwenda lazima walikuwa na sababu, si wakubezwa.

Wishful thinking haimaanishi "past", kumbuka hilo halafu kajisome tena. Inamaanisha unatamani litokee lakutokea.
 
Alhamdulillah sipajuwi wala sijafika na waliokwenda lazima walikuwa na sababu, si wakubezwa.

Wishful thinking haimaanishi "past", kumbuka hilo halafu kajisome tena. Inamaanisha unatamani litokee lakutokea.
Wavivu wa kusoma hao Mama yngu mie nimewaeleza siku nyingi wa kasome kitabu hiki...
IMG-20200403-WA0065.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
nadhani mtoa mada unahitaji kuchekiwa akili zako, akili zangu zinaniambia akili zako haziko sawa, mirembe hosp should be your new home!! dawa ile ya Madagascar ni bora acha uchawi na uzabizabina , nchi nyingi zimenunua nimeona mwenyewe leo Al Jazeera wakirusha hewani ndege za Guinea Bissau zinabeba maboksi lukuki!! nasikia hata Italy wanachukua kwa siri, na stori ni kuwa Madagascar wagonjwa wote wanaotumia hiyo dawa hupona!! Acha kulinganisha vitu visivyo lingana ile ni dawa inatoka kiwandani!! Tumejikinga kwa maombi kwa kujifukiza na sasa tumehamia tiba ya kisayansi, watu wa Ivory Coast wananua Chloroquine na kusubiri Coronavirus ije wanywe, kununua dawa Madagascar si lazima tuumwe, ni kujilinda na watakaoumwa kwa maombi ya Chadema Corona bus ijaze abiria basi wapewe! Kama dawa inaponya tukinunua ni faida manake tutafungua mashule na michezo haraka maisha ya mamilioni ya watu yaliyosimama yaendelee! Acha kuwaza ujinga!
 
nadhani mtoa mada unahitaji kuchekiwa akili zako, akili zangu zinaniambia akili zako haziko sawa, mirembe hosp should be your new home!! dawa ile ya Madagascar ni bora acha uchawi na uzabizabina , nchi nyingi zimenunua nimeona mwenyewe leo Al Jazeera wakirusha hewani ndege za Guinea Bissau zinabeba maboksi lukuki!! nasikia hata Italy wanachukua kwa siri, na stori ni kuwa Madagascar wagonjwa wote wanaotumia hiyo dawa hupona!! Acha kulinganisha vitu visivyo lingana ile ni dawa inatoka kiwandani!! Tumejikinga kwa maombi kwa kujifukiza na sasa tumehamia tiba ya kisayansi, watu wa Ivory Coast wananua Chloroquine na kusubiri Coronavirus ije wanywe, kununua dawa Madagascar si lazima tuumwe, ni kujilinda na watakaoumwa kwa maombi ya Chadema Corona bus ijaze abiria basi wapewe! Kama dawa inaponya tukinunua ni faida manake tutafungua mashule na michezo haraka maisha ya mamilioni ya watu yaliyosimama yaendelee! Acha kuwaza ujinga!
Kwahiyo Al Jazeera "kurusha" ndege hewani zikiwa zimebeba mabox lukuki kwako ndo tayari ni supporting evidence?! Hizo ndege ni za nchi zipi kama sio kutoka kwa wale wale staili ya Magufuli?

Eti nchi nyingi zimenunua lakini unaishia kuitaja Guinea Bissau!!!

Umesikia wapi hizo habari kwamba Italy ilifuata dawa Madagascar? Unapeleka vp mabox kwa mabox kutoka Madagascar hadi Italy kwa njia ya siri?! Kwanini hao Madagascar wasifichue hiyo siri ili kupata publicity zaidi?

Btw, kwahiyo kwavile dawa imetoka kiwandani ndo basi tena... kila anayeitumia huko Madascar anapona?! Ni bidhaa ngapi, including madawa huwa zinatengenezwa viwandani na bado zinakuwa fake?
 
Wewe lazima utakuwa moja katika watu waliomiminika kijijini Samunge kubugia kikombe cha babu. Cha ajabu ni kwamba mpaka leo ugonjwa uliokuwa ukiwasumbua haujulikani na kama mlipona!
Hebu weka na picha za chopa za Ndesamburo zilivyokuwa zikibeba watu.
Suala lile lilichagizwa kidini zaidi na si kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nadhani mtoa mada unahitaji kuchekiwa akili zako, akili zangu zinaniambia akili zako haziko sawa, mirembe hosp should be your new home!! dawa ile ya Madagascar ni bora acha uchawi na uzabizabina , nchi nyingi zimenunua nimeona mwenyewe leo Al Jazeera wakirusha hewani ndege za Guinea Bissau zinabeba maboksi lukuki!! nasikia hata Italy wanachukua kwa siri, na stori ni kuwa Madagascar wagonjwa wote wanaotumia hiyo dawa hupona!! Acha kulinganisha vitu visivyo lingana ile ni dawa inatoka kiwandani!! Tumejikinga kwa maombi kwa kujifukiza na sasa tumehamia tiba ya kisayansi, watu wa Ivory Coast wananua Chloroquine na kusubiri Coronavirus ije wanywe, kununua dawa Madagascar si lazima tuumwe, ni kujilinda na watakaoumwa kwa maombi ya Chadema Corona bus ijaze abiria basi wapewe! Kama dawa inaponya tukinunua ni faida manake tutafungua mashule na michezo haraka maisha ya mamilioni ya watu yaliyosimama yaendelee! Acha kuwaza ujinga!
Je ulipona baada ya kubugia kikombe cha Babu? Je ulikuwa unaumwa ugonjwa gani? Na bosi wako alikuwa anaumwa ugonjwa gani? Je naye aliweza kupona?

Pole sana Marry Ngowi, naona kama vile bado unahitaji dozi kwa sababu mtu mwenye akili timamu hawezi kuandika utumbo kama huo wako. Ngoja nikuulizie alipo babu.
 
Historia ni kumbukumbu, historia ni mwalimu, historia haidanganyi, historia hutahadharisha na historia hutoa funzo na hujirudia baada ya muda fulani na katika nyakati tofauti.

Flashback: Mwaka 2011 dawa ya ajabu ilidaiwa kupatikana. Hii dawa ilidaiwa kutibu si tu ugonjwa moja, hapana, dawa ilitibu magonjwa yote mwilini na kuuacha mwili ukiwa na afya tele.

Wataalamu walionya sana kuhusu athari za dawa hii lakini walipuuzwa na wagonjwa walimiminika kijijini Samunge kwa nabii aliyedai kaoteshwa na mungu Babu wa Loliondo, Ambilikile Masapila.

Hospitali zilikimbiwa na wagonjwa wa aina zote na juhudi za madaktari kuwazuia hazikufanikiwa. Wapo waliosafiri kwa ndege, waliosafiri kwa magari, waliosafiri kwa baiskeli na waliotembea kwa miguu.

Watu wenye maradhi ya aina zote, wanawake kwa wanaume bila kujali dini, jinsia au rangi, bila kujali uwezo wa kifedha ama nyadhifa, bila kujali umri wao,walimiminika kuwahi kikombe, kikombe cha babu!


Magufuli apeleka Sh1bn Loliondo

WAZIRI wa Ujenzi wa wakati huo, Dk John Magufuli, naye alitua Kijijini Samunge kwa mchungaji Ambilikile Masapila ili aweze kupata kikombe chake cha dawa kama anavyoonekana hapo juu. Baada ya kupata dozi yake Waziri Magufuli alitangaza neema ya kujengwa kwa barabara kuu inayoingia kijijini hapo.

Magufuli aliuambia umati wa watu uliokuwa ukisubiri zamu yao kunywa dawa kuwa, Serikali ingetumia Sh1.05 bilioni kwa ajili kutengenenza barabara hiyo ili iweze kupitika wakati wote kwa lengo la kuwarahisishia usafiri wanaokwenda kunywa dawa kwa Babu Masapila.

Je ni Watanzania wangapi walikufa kwa kuacha kutumia dawa za hospitali na kukimbilia kikombe cha Babu?

Swali fikirishi: Je hali ingekuwaje wakati huo kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania angekuwa ni John Magufuli?

Presently: Je kwa dawa ya COVID-19, historia itajirudia?
Inajirudia maana fikira potofu ni hizo hizo toka kwa yule yule! Unajua kama una ugonjwa hauna dawa, utakubali chochote kle!
 
nadhani mtoa mada unahitaji kuchekiwa akili zako, akili zangu zinaniambia akili zako haziko sawa, mirembe hosp should be your new home!! dawa ile ya Madagascar ni bora acha uchawi na uzabizabina , nchi nyingi zimenunua nimeona mwenyewe leo Al Jazeera wakirusha hewani ndege za Guinea Bissau zinabeba maboksi lukuki!! nasikia hata Italy wanachukua kwa siri, na stori ni kuwa Madagascar wagonjwa wote wanaotumia hiyo dawa hupona!! Acha kulinganisha vitu visivyo lingana ile ni dawa inatoka kiwandani!! Tumejikinga kwa maombi kwa kujifukiza na sasa tumehamia tiba ya kisayansi, watu wa Ivory Coast wananua Chloroquine na kusubiri Coronavirus ije wanywe, kununua dawa Madagascar si lazima tuumwe, ni kujilinda na watakaoumwa kwa maombi ya Chadema Corona bus ijaze abiria basi wapewe! Kama dawa inaponya tukinunua ni faida manake tutafungua mashule na michezo haraka maisha ya mamilioni ya watu yaliyosimama yaendelee! Acha kuwaza ujinga!
Mawee!!........ Kwa akili za namna hii lazima tuburuzwe.
 
Back
Top Bottom