Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,548
- 9,702
Jifunze kuandika kwanza ueleweke
Sent using Jamii Forums mobile app
nadhani mtoa mada unahitaji kuchekiwa akili zako, akili zangu zinaniambia akili zako haziko sawa, mirembe hosp should be your new home!! dawa ile ya Madagascar ni bora acha uchawi na uzabizabina , nchi nyingi zimenunua nimeona mwenyewe leo Al Jazeera wakirusha hewani ndege za Guinea Bissau zinabeba maboksi lukuki!! nasikia hata Italy wanachukua kwa siri, na stori ni kuwa Madagascar wagonjwa wote wanaotumia hiyo dawa hupona!! Acha kulinganisha vitu visivyo lingana ile ni dawa inatoka kiwandani!! Tumejikinga kwa maombi kwa kujifukiza na sasa tumehamia tiba ya kisayansi, watu wa Ivory Coast wananua Chloroquine na kusubiri Coronavirus ije wanywe, kununua dawa Madagascar si lazima tuumwe, ni kujilinda na watakaoumwa kwa maombi ya Chadema Corona bus ijaze abiria basi wapewe! Kama dawa inaponya tukinunua ni faida manake tutafungua mashule na michezo haraka maisha ya mamilioni ya watu yaliyosimama yaendelee! Acha kuwaza ujinga!
Sent using Jamii Forums mobile app