Habari za J2?
Wadau karibuni katika sehemu ya pili na ya mwisho ya mjadala wetu tukija na njia ya nini cha kufanya kudumisha Amani yetu.
Tujitahidi kutorejea Yale tuliyouliza last week (
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ipi-misingi-ya-kuendeleza-amani-tanzania.html ) nimeyajumuisha yote ktk utangulizi na tumeanzia hapo
Wageni wote wa wiki iliyopita wapo:
- Mh. Tundu Lisu
- Nape Nnauye
- Juju Danda
Na Mwanza tuna mchambuzi mahiri Donald Kasongi
Karibuni