MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #101
Aimen to that................ nasalute kaka kabisa.Nilikujibu kwamba tatizo wengi wetu tunachukulia weakness zenu lakini kama mwanamke utakuwa strong na kujiamini unaweza kukataa kutoa tigo na mpenzi wako aka heshimu maamuzi yako.Lakini kwa vile wengi wenu hamjiamini unahisi kwamba ukinyima kutoa tigo mpenzi wako ataenda kwa mwanamke mwingine kuomba tigo.Mapenzi sio kutoa tigo tu na kama mtu anakupenda ataheshimu maamuzi yako.
Kuna wanawake wengine wanapenda kutoa tigo kama njia ya kumvutia mwanamme lakini ukweli ni kwamba unapoteza heshima yako.Wengi wetu tumesahau madhara ya tigo na tatizo kubwa tunapenda kufuata mkumbo.
Tatizo langu ni kuwa why kina kaka hawaoni vibaya kukubali the Tigo na wengine wanaidai huku wakiilinganisha na mapenzi ya kweli kuliko limbwata?? ambalo mie kwa namna moja au nyingine naliona kama ni bora (lisiwe na madhara lakini) na njia sahihi ya kuonyesha kuwa unampenda mpenzi wako than giving out that door..........