MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Wapenzi wa JF...............Happy New Year kwenu wote
Was just thinking about Limbwata............ Kina kaka/dada on the second thought..hv mwanamke/mwanaume wako akikuwekea Limbwata kuna ubaya gani??........... kwa sababu si huwa hiyo inafanya kwa kuwa anakupenda sana? Yaani Mumeo/Mkeo/Mpenzi akikulimbwata lengo lake si ni kuwa na wewe milele.....and that means anakupenda sana (Why asimwekee Juma/Halima, George/Rose au mwingine??)
Kuwekewa Limbwata kwa nini kusichukuliwe kama vile vingine ambavyo mnaviaprove mkifanyiwa mf. Mwanadada/Kaka anapokuwa mbunifu ili tu akuwini uvutiwe naye kila siku na kubaki nae??.....
On the second thought.
Hapa nazungumzia kwa wale wenye mapenzi huru (i.e. mume/mke halali, mpenzi ambaye unatarajia kuoa/olewa).
Was just thinking about Limbwata............ Kina kaka/dada on the second thought..hv mwanamke/mwanaume wako akikuwekea Limbwata kuna ubaya gani??........... kwa sababu si huwa hiyo inafanya kwa kuwa anakupenda sana? Yaani Mumeo/Mkeo/Mpenzi akikulimbwata lengo lake si ni kuwa na wewe milele.....and that means anakupenda sana (Why asimwekee Juma/Halima, George/Rose au mwingine??)
Kuwekewa Limbwata kwa nini kusichukuliwe kama vile vingine ambavyo mnaviaprove mkifanyiwa mf. Mwanadada/Kaka anapokuwa mbunifu ili tu akuwini uvutiwe naye kila siku na kubaki nae??.....
On the second thought.
Hapa nazungumzia kwa wale wenye mapenzi huru (i.e. mume/mke halali, mpenzi ambaye unatarajia kuoa/olewa).