on my way home ....

on my way home ....

Miss neddy, acha huko njoo huku, mi nshasubiri sana na hata kwenye kile kitabu cha foleni ukiangalia nimo. Njoo huku uchonge mzinga kabisa!

hahahahahhaa uko uwanja wa vita hapa mura akirudi mi simoo
 
hapana, Mie na wewe twafanya yetu sirini, asijue mtu..afu ile miadi yetu Khantwe, mbona wanipotezea hivyo..!

We ndo unanipotezea....mi najitahidi kukumbushia kila mara lakini wapi...!
 
Last edited by a moderator:
hahahahahhaa uko uwanja wa vita hapa mura akirudi mi simoo

Mura kesha sahau sijui hata km atarudi. Jana nirimuona na Faiza anasindikizwa bado akifika kuree ana wake watatu. We njoo bana mi ntajificha uvunguni akikohoa!
 
Excel nakutakia safari njema kaka, nami muda huu Niko njiani naelekea dodoma...

asante sana mkuu kabanga!

nimefika nyumbani salama sana japo tulipata matatizo kidogo njiani...

shukrani..
 
Pole sana mkuu! Safari ndefu mpaka unachoka! Tukua hotel pumzika kwanza, najua lazima utakuwa na mwenyeji ILA usiku ni mwingi muda huu.

dah.. mkuu nakwambia nimeingia mwanza kama mkimbizi vile! saa saba kamili za usiku!

imagine eneo ambalo usafiri wa pikipiki huwa ni buku, bei inapanda mara 5! hapa tax utaambiwa buku 15!

Lakini namshukuru Mola tumefika salama! tumemuacha mohamed trans akikokotwa Tabora wakati tulikuwa njia moja!

Road transport ina majanga mengi sana ndani ya nchi hii..
 
hahahahaha nilishampa onyo pole na safari king

asante sana mpenzi! nakumiss sana ujue mamii!

Niko mwanza kwa sasa! soon naenda usukumani kwa mabinti wa kinyantuzu! lol..
 
ngoja nim-blacklist huyu mjamaa! he seems to like ngeu on his forehead!

Eeeeh bwana, unataka kunitumbukiza kwny shimo nini. Basi bhana mi sitaki tena hizi mbichi. Kwanza mi nilishawishiwa tu na kan'tangaze hata sikuhitaji. Usin'toe ngeu bhana!
 
Eeeeh bwana, unataka kunitumbukiza kwny shimo nini. Basi bhana mi sitaki tena hizi mbichi. Kwanza mi nilishawishiwa tu na kan'tangaze hata sikuhitaji. Usin'toe ngeu bhana!

ahaaa!!
kan'tangaze? basi sawa! ngoja nimuandalie ngeu za mapanga..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom