ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 704
Kila mmoja kwa nafasi yake inabidi awajibike kuichangia hii nchi tupate maendeleo
Najua tayari kuna kodi nyingine ila hizi zilizopo sidhani kama zinatosha kuleta maendeleo kama wananchi tunavyotarajia sababu sio wote wanatoa. Nadhani ukiletwa utaratibu mzuri wa hii kodi Serikali yetu itapata kiasi kikubwa hivyo tutapata maendeleo kwa wakati
Kodi si dhambi.
Fanyeni haya kwa kunikumbuka mimi.
Najua tayari kuna kodi nyingine ila hizi zilizopo sidhani kama zinatosha kuleta maendeleo kama wananchi tunavyotarajia sababu sio wote wanatoa. Nadhani ukiletwa utaratibu mzuri wa hii kodi Serikali yetu itapata kiasi kikubwa hivyo tutapata maendeleo kwa wakati
Kodi si dhambi.
Fanyeni haya kwa kunikumbuka mimi.