Jamaa mmoja alikuwa anatembea pwani ya bahari ya Hindi..... huku anasali kimoyomoyo, akasema kwa sauti Mungu natamani unifanyie kitu kimoja.....ikasikika sauti kutoka mbinguni ikisema "Kwa kuwa umejitahidi kuwa waaminifu mimi nitakufanyia..." jamaa akasema nataka ufanye daraja hapa na Zanzibar ili niende tu kwa gari kirahisi..."
Bwana alijibu, "ombi lako ni gumu sana... fikiria vifaa vinavyotakiwa.....zinatakiwa nguzo, zitakazofika chini ya bahari....inatakiwa cement na chuma nyingi....sitaweza kufanya hilo kwani ni siwezi kukubali ombi lako la kimwili...fikiri kitu kingine...kitakachonitukuza.... .
Jamaa akafikiri kwa muda kisha akasema..."Bwana, nataka nipate kumwelewa mwanamke!!,.... ..Nataka kujua mawazo yao...anaponipa jibu la kimya...kwa nini hulia...anaponyamaza kimya....anaponijibu kuwa ..hakuna kitu/shida... na jinsi nitakavyoweza kumfanya mwanamke afurahi....
......Mungu akatulia kwa muda ....akamwambia, Hivi lile daraja ulisema unataka lianzia wapi...... ?.......
Bwana alijibu, "ombi lako ni gumu sana... fikiria vifaa vinavyotakiwa.....zinatakiwa nguzo, zitakazofika chini ya bahari....inatakiwa cement na chuma nyingi....sitaweza kufanya hilo kwani ni siwezi kukubali ombi lako la kimwili...fikiri kitu kingine...kitakachonitukuza.... .
Jamaa akafikiri kwa muda kisha akasema..."Bwana, nataka nipate kumwelewa mwanamke!!,.... ..Nataka kujua mawazo yao...anaponipa jibu la kimya...kwa nini hulia...anaponyamaza kimya....anaponijibu kuwa ..hakuna kitu/shida... na jinsi nitakavyoweza kumfanya mwanamke afurahi....
......Mungu akatulia kwa muda ....akamwambia, Hivi lile daraja ulisema unataka lianzia wapi...... ?.......