kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,939
- 7,847
mkimwita jpm dikteta ndio mnadhani ataacha au kuogopa kutumbua majipu? hii vita dhidi ya ufisadi na uzembe inaendeshwa kisheria. hata mkimuota jpm nini fisadi na mabepari uchwara mnaye tu. wenye kunyea debe lockup wataendelea. biashara ya wanasheria kuuza haki inapigwa vita. wenye kudhulumu umma hatimae watalayiwa hukumu.
Hapa ni kujifurahisha tuu kwa ushauri huu kwa sababu Mhe.Magufuli sio mtu wa kupelekwa pelekwa tuu kama J.K.
Aliishasema hakuna mikutano wala maandamano!, hatakubali ushauri wa mtu wala kukaa meza moja ya mazungumzo na yeyote.
Ukiondoa Mungu, Magufuli anaweza kusikiliza mtu mmoja tuu! , yule Mzee wa Kurasini!, na alikubali kusikiliza inamaanisha atamshawishi aiache katiba iheshimiwe kitu ambacho ni kigumu sana kwa madikiteta wote duniani! .
Pasco