OMBI: Mhe Rais usikubali kukaa meza moja na CHADEMA

OMBI: Mhe Rais usikubali kukaa meza moja na CHADEMA

TandaleOne

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2010
Posts
1,644
Reaction score
709
Hakuna HAKI isiyokuwa na WAJIBU.

Ninatambua haki ya kikatiba ya upinzani kuwepo na haki ya kufanya shughuli zao za siasa, lakini kwa msisitizo wa kutimiza wajibu wa kuheshimu sheria, maelekezo na amri halali zitolewazo na vyombo na mamlaka halali kikatiba.

HAIWEZEKANI, katika sura inayoitwa kufanya siasa, tukaruhusu watu wahimize Civil Disobidience ili wakishughulikiwa wapate Public sympathy iwe ndio njia yao ya kufanya siasa zao, kuyaweka maisha ya watu rehani iwe ndio njia ya kukuza chama chao na kuonyesha uwepo wao.

HII ni NCHI, imefika hapa kwa sababu wapo watu waliojitolea kwa maisha yao, maarifa yao na uwezo wao wote wa kuitunza, kuilinda na kuiendeleza AMANI ya nchi hii. TANZANIA haina tofauti na SOMALIA, wala tusijdanganye kuwa SUDANI KUSINI hakuna binadamu, wapo ila ni kwa sababu mamlaka zao ziliamua kucheka na nyani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt John Pombe Magufuli, nakuomba unisikilize, watu hawa, wanaohamasisha vurugu na kutotii sheria wanaleta chokochoko ya kuiharibu amani yetu, wameamua kukujaribu, wanataka kuona kama kweli kiapo ulichokula siku ya tarehe 05 Novemba 2015 pale uwanja wa Taifa unaweza kukitetea. Mhe umeapa kuilinda amani ya nchi hii na ukachukua ahadi mbele ya MUNGU kuwa utawalinda watanzania na mali zao.

Mhe Rais, Watanzania wana HOFU, wanaposhuhudia Askari wanaopaswa kuwalinda wanauwawa kila uchao, wakisikia kuwa kuna wanasiasa wanasema Waziri wa Ulinzi ndio anahusika na mauaji na kwamba ni "mchezo" tu wa polisi wenyewe unaitwa "conspirancy". Yet watu wanaosema haya wapo mtaani, wanatamba na wanajitangazia ushujaa......NOOOOOOO WAY. Hatuwezi kukubali kuanza kwa udhaifu, ukiwaruhusu kuyafanya haya leo, itatengeneza precedent mbaya sana katika miaka 10 ya utawala wako. Hawa watu ni criminals, wavunja sheria, wana-impose unnecessary public fear, ni lazima kutafuta namna ya kumalizana nao. Na namna yenyewe haiwezi kuwa kuwaita kwenye meza, uwape juice, wamekalia couch wanapigwa na AC, hapana haiwezekani kuwa namna hiyo.

Hii ni NCHI, umechukua dhamana mbele yetu na mbele ya MUNGU wako, basi ilinde dhamana hiyo. Narudia tena hawa si wanademokrasia, these guys are criminals, crystal clear..!!
 
Ashupazaye shingo mwishowe huvunjika

hakuna aliye juu ya katiba na mzaha mzaha mwishowe hutumbua usaha
...
samahani nitaendelea baadae..

Ukuta Loading...
 
Hakuna HAKI isiyokuwa na WAJIBU.

Ninatambua haki ya kikatiba ya upinzani kuwepo na haki ya kufanya shughuli zao za siasa, lakini kwa msisitizo wa kutimiza wajibu wa kuheshimu sheria, maelekezo na amri halali zitolewazo na vyombo na mamlaka halali kikatiba.

HAIWEZEKANI, katika sura inayoitwa kufanya siasa, tukaruhusu watu wahimize Civil Disobidience ili wakishughulikiwa wapate Public sympathy iwe ndio njia yao ya kufanya siasa zao, kuyaweka maisha ya watu rehani iwe ndio njia ya kukuza chama chao na kuonyesha uwepo wao.

HII ni NCHI, imefika hapa kwa sababu wapo watu waliojitolea kwa maisha yao, maarifa yao na uwezo wao wote wa kuitunza, kuilinda na kuiendeleza AMANI ya nchi hii. TANZANIA haina tofauti na SOMALIA, wala tusijdanganye kuwa SUDANI KUSINI hakuna binadamu, wapo ila ni kwa sababu mamlaka zao ziliamua kucheka na nyani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt John Pombe Magufuli, nakuomba unisikilize, watu hawa, wanaohamasisha vurugu na kutotii sheria wanaleta chokochoko ya kuiharibu amani yetu, wameamua kukujaribu, wanataka kuona kama kweli kiapo ulichokula siku ya tarehe 05 Novemba 2015 pale uwanja wa Taifa unaweza kukitetea. Mhe umeapa kuilinda amani ya nchi hii na ukachukua ahadi mbele ya MUNGU kuwa utawalinda watanzania na mali zao.

Mhe Rais, Watanzania wana HOFU, wanaposhuhudia Askari wanaopaswa kuwalinda wanauwawa kila uchao, wakisikia kuwa kuna wanasiasa wanasema Waziri wa Ulinzi ndio anahusika na mauaji na kwamba ni "mchezo" tu wa polisi wenyewe unaitwa "conspirancy". Yet watu wanaosema haya wapo mtaani, wanatamba na wanajitangazia ushujaa......NOOOOOOO WAY. Hatuwezi kukubali kuanza kwa udhaifu, ukiwaruhusu kuyafanya haya leo, itatengeneza precedent mbaya sana katika miaka 10 ya utawala wako. Hawa watu ni criminals, wavunja sheria, wana-impose unnecessary public fear, ni lazima kutafuta namna ya kumalizana nao. Na namna yenyewe haiwezi kuwa kuwaita kwenye meza, uwape juice, wamekalia couch wanapigwa na AC, hapana haiwezekani kuwa namna hiyo.

Hii ni NCHI, umechukua dhamana mbele yetu na mbele ya MUNGU wako, basi ilinde dhamana hiyo. Narudia tena hawa si wanademokrasia, these guys are criminals, crystal clear..!!
Usitaje bure jina la bwana MUNGU wako,hiyo ni moja ya amri katika kitabu kitakatifu BIBLIA ,unaandika taarifa ambazo hazina mbele wala nyuma tena zilizojaa kutu halafu unamtaja aliye juu,kuwa makini,Mungu tunayemuamini anapenda suluhu na amani labda kama wewe ni agent wa LUCIFER sawa endelea la sivyo jiheshimu na uombe msamaha kwa mola,ila punguza mahaba hadi unakuwa tayari kutenda dhambi kisa uwafurahishe wakuu hii si sawa
 
Mi naona mfumo wa vyama vingi ufutwe turudi kwenye chama kimoja kushika hatamu....Kuuminya upinzani ni kuupa huruma ya watanzania bora kuufuta tu
 
Hapa ni kujifurahisha tuu kwa ushauri huu kwa sababu Mhe.Magufuli sio mtu wa kupelekwa pelekwa tuu kama J.K.

Aliishasema hakuna mikutano wala maandamano!, hatakubali ushauri wa mtu wala kukaa meza moja ya mazungumzo na yeyote.

Ukiondoa Mungu, Magufuli anaweza kusikiliza mtu mmoja tuu! , yule Mzee wa Kurasini!, na alikubali kusikiliza inamaanisha atamshawishi aiache katiba iheshimiwe kitu ambacho ni kigumu sana kwa madikiteta wote duniani! .

Pasco
 
HAIWEZEKANI, katika sura inayoitwa kufanya siasa, tukaruhusu watu wahimize Civil Disobidience ili wakishughulikiwa wapate Public sympathy iwe ndio njia yao ya kufanya siasa zao, kuyaweka maisha ya watu rehani iwe ndio njia ya kukuza chama chao na kuonyesha uwepo wao.
Nini kilianza kati kuhimiza civil disobedience na shaka shaka ya ikiwa serikali inazingatia utawala bora, utawala wa sheria, demokrasi na utii kwa katiba?!
 
Hapa ni kujifurahisha tuu kwa ushauri huu kwa sababu Mhe.Magufuli sio mtu wa kupelekwa pelekwa tuu kama J.K.

Aliishasema hakuna mikutano wala maandamano!, hatakubali ushauri wa mtu wala kukaa meza moja ya mazungumzo na yeyote.

Ukiondoa Mungu, Magufuli anaweza kusikiliza mtu mmoja tuu! , yule Mzee wa Kurasini!, na alikubali kusikiliza inamaanisha atamshawishi aiache katiba iheshimiwe kitu ambacho ni kigumu sana kwa madikiteta wote duniani! .

Pasco

Kwani magufuli ni nani nchi hii? Yeye ni nani kufuta suala la vyama vingi? Hv unajua kwanini tulianza kuwa na vyama vingi?
Hata watoto nyumbani wanapaswa kusikilizwa. Chadema walitaka kuhoji kuvunjwa kwa katiba huku watu kama nyinyi mnaona hilo swala ni sawa kabisa na hakosei?
Hv watz tunaenda wapi? Hv mnajua ulimwengu upo wapi kweli hasa kwenye swaa la usawa na demokrasia?
 
Inachekesha unayoyasema ndiyo upande wa pili wanayasema hayohayo, ukuta wanaimpose public fear, wao wanasema serikali inafanya kitu hichohicho ndiyo maana wanaandamana, na Sudan unawasingizia, wale jamaa hawataki kukaa kupata suluhu ya matatizo yao wanaishia kutumia violence.

Kukaa na kutafuta suluhu sio weakness, ni strength, yanayosemwa sio ya uongo, kila mtu anajua kua kumekua na matamko mengi tu yanatolewa kiholela, huwezi ukasema tuweke picha ya Rais kila ofisi, lina umuhimu gani jambo kama hilo?

Rais alianza kutake immediate action kwa nia njema kabisa, ni kweli kuna vitu vingine vinahitaji immediate action, walio chini yake wakawa na presha wakaiga, wakaanza kukurupuka kutoa decisions za ovyo, sasa kila kitu kinafanywa kiholela tu bila mipango, mtu anaamka leo kajisikia kufanya kitu fulani, anafanya research ya masaa machache, tayari ametangaza kwenye media na hataki discussions. Hatuwezi kubali kuishi kijinga namna hiyo, hili tatizo tukiliacha litatuumiza baadaye, kusema tutafix errors baadaye ni ujinga, there's no room for errors ukiwa unadeal na maisha ya watu.
 
Mi naona mfumo wa vyama vingi ufutwe turudi kwenye chama kimoja kushika hatamu....Kuuminya upinzani ni kuupa huruma ya watanzania bora kuufuta tu

Wewe huna mawazo sahihi lakini hayo ni matakwa ya chama kilicho juu ya sheria kisa kinaweza kuliamuru dola ifanye ipendacho. Huyo mwenzako Tandale one ni mmoja kati ya waandamizi huko ccm na hapa kaja na andiko la chuki, jazba na utengano. Wewe na yeye wote mmesahau hakuna jamii inayosonga mbele bila misuguano.

Kwenye fizikia kuna kitu kinaitwa "without friction no movement". Ni vyema mkajifunza hilo kwani kinyume chake ni kutafuta tu matatizo kwa hali hiyo. Leo mtaweza kutumia nguvu kubwa kuonyesha mlivyo na amri juu ya dola, lakini hilo halitokuwa suluhisho la tatizo zaidi ya kujengea chuki kubwa ambayo haitoweza kuondoka kwa mabavu.

Mimi naamini kwa mtazamo wangu finyu, mazungumzo na kufanyia kazi pale palipo na mapungufu ndio suluhu ya kweli na sio kutuwala kwa kujenga hofu ama ukandamizaji.

Ndugu yangu Tandale one kama siasa za hoja na ushawishi zimekushinda njoo huku kwenye kilimo tuendelee kujenga taifa kuliko kumpandikizia rais wetu chuki ambazo hazitamjenga yeye wala kujenga taifa bora.
 
Ashupazaye shingo mwishowe huvunjika

hakuna aliye juu ya katiba na mzaha mzaha mwishowe hutumbua usaha
...
samahani nitaendelea baadae...

Ukuta Loading...
Bora kuvunjika shingo ukiwa shujaa! Kuliko kujidhalilisha na criminals!
 
Hakuna HAKI isiyokuwa na WAJIBU.

Ninatambua haki ya kikatiba ya upinzani kuwepo na haki ya kufanya shughuli zao za siasa, lakini kwa msisitizo wa kutimiza wajibu wa kuheshimu sheria, maelekezo na amri halali zitolewazo na vyombo na mamlaka halali kikatiba.

HAIWEZEKANI, katika sura inayoitwa kufanya siasa, tukaruhusu watu wahimize Civil Disobidience ili wakishughulikiwa wapate Public sympathy iwe ndio njia yao ya kufanya siasa zao, kuyaweka maisha ya watu rehani iwe ndio njia ya kukuza chama chao na kuonyesha uwepo wao.

HII ni NCHI, imefika hapa kwa sababu wapo watu waliojitolea kwa maisha yao, maarifa yao na uwezo wao wote wa kuitunza, kuilinda na kuiendeleza AMANI ya nchi hii. TANZANIA haina tofauti na SOMALIA, wala tusijdanganye kuwa SUDANI KUSINI hakuna binadamu, wapo ila ni kwa sababu mamlaka zao ziliamua kucheka na nyani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt John Pombe Magufuli, nakuomba unisikilize, watu hawa, wanaohamasisha vurugu na kutotii sheria wanaleta chokochoko ya kuiharibu amani yetu, wameamua kukujaribu, wanataka kuona kama kweli kiapo ulichokula siku ya tarehe 05 Novemba 2015 pale uwanja wa Taifa unaweza kukitetea. Mhe umeapa kuilinda amani ya nchi hii na ukachukua ahadi mbele ya MUNGU kuwa utawalinda watanzania na mali zao.

Mhe Rais, Watanzania wana HOFU, wanaposhuhudia Askari wanaopaswa kuwalinda wanauwawa kila uchao, wakisikia kuwa kuna wanasiasa wanasema Waziri wa Ulinzi ndio anahusika na mauaji na kwamba ni "mchezo" tu wa polisi wenyewe unaitwa "conspirancy". Yet watu wanaosema haya wapo mtaani, wanatamba na wanajitangazia ushujaa......NOOOOOOO WAY. Hatuwezi kukubali kuanza kwa udhaifu, ukiwaruhusu kuyafanya haya leo, itatengeneza precedent mbaya sana katika miaka 10 ya utawala wako. Hawa watu ni criminals, wavunja sheria, wana-impose unnecessary public fear, ni lazima kutafuta namna ya kumalizana nao. Na namna yenyewe haiwezi kuwa kuwaita kwenye meza, uwape juice, wamekalia couch wanapigwa na AC, hapana haiwezekani kuwa namna hiyo.

Hii ni NCHI, umechukua dhamana mbele yetu na mbele ya MUNGU wako, basi ilinde dhamana hiyo. Narudia tena hawa si wanademokrasia, these guys are criminals, crystal clear..!!
ndugu kama ungewathamini watanzania zaid ya milion 6 waliopiga kura kwa ukawa usinge chochea mvutano huu, ukiwatazama viongozi wa ukawa unaweza rahisisha kazi, lakinitatizo lipo pale kama haomilion 6 watatii kauli za viongozi wao wa chama basi ujue taifa litakuwa kwenye hatari yakuingia kwenye vita ya sisi kwa sisi , hata moto huanza na njiti ndogo tu ya kiberiti. nakuomba endelea kuomba mungu tusifike huko kwani wote tutapoteza hata wewe utaathirika kwa namna moja au nyingine. raia sikuiz hawaogopi zana za kijeshi zinazo tembezwa huki mtaani
 
kuwa na amani ni kupendana kula,kukaa kuzungumza pamoja....
 
h
Kwani magufuli ni nani nchi hii? Yeye ni nani kufuta suala la vyama vingi? Hv unajua kwanini tulianza kuwa na vyama vingi?
Hata watoto nyumbani wanapaswa kusikilizwa. Chadema walitaka kuhoji kuvunjwa kwa katiba huku watu kama nyinyi mnaona hilo swala ni sawa kabisa na hakosei?
Hv watz tunaenda wapi? Hv mnajua ulimwengu upo wapi kweli hasa kwenye swaa la usawa na demokrasia?
Hata mimi nashangaa kuona kwamba humjui Rais wa nchi hii mpaka unauliza yeye ni nani?
 
Tundu Lissu jana kwenye hotuba yake akiongea waandishi wa habari alisema maandalizi yote operesheni #UKUTA yataendelea kama ratiba ilivyopangwa nchini nzima. Pia akasema hakuna mkutano au maandamano yatayofanyika bila kupata kibali cha Jeshi la Polisi. Sehemu ambazo maandamano au mkutano yatazuiwa bila sababu za msingi watafungua mashtaka mahakamani .Majadiliano kati ya Raisi na Chadema yanaweza kufanikiwa endapo watakubaliana kwa pamoja nchi kuongozwa kwa kufuata kanuni na sheria zipo ndani ya katiba yetu.
 
Hakuna HAKI isiyokuwa na WAJIBU.

Ninatambua haki ya kikatiba ya upinzani kuwepo na haki ya kufanya shughuli zao za siasa, lakini kwa msisitizo wa kutimiza wajibu wa kuheshimu sheria, maelekezo na amri halali zitolewazo na vyombo na mamlaka halali kikatiba.

HAIWEZEKANI, katika sura inayoitwa kufanya siasa, tukaruhusu watu wahimize Civil Disobidience ili wakishughulikiwa wapate Public sympathy iwe ndio njia yao ya kufanya siasa zao, kuyaweka maisha ya watu rehani iwe ndio njia ya kukuza chama chao na kuonyesha uwepo wao.

HII ni NCHI, imefika hapa kwa sababu wapo watu waliojitolea kwa maisha yao, maarifa yao na uwezo wao wote wa kuitunza, kuilinda na kuiendeleza AMANI ya nchi hii. TANZANIA haina tofauti na SOMALIA, wala tusijdanganye kuwa SUDANI KUSINI hakuna binadamu, wapo ila ni kwa sababu mamlaka zao ziliamua kucheka na nyani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt John Pombe Magufuli, nakuomba unisikilize, watu hawa, wanaohamasisha vurugu na kutotii sheria wanaleta chokochoko ya kuiharibu amani yetu, wameamua kukujaribu, wanataka kuona kama kweli kiapo ulichokula siku ya tarehe 05 Novemba 2015 pale uwanja wa Taifa unaweza kukitetea. Mhe umeapa kuilinda amani ya nchi hii na ukachukua ahadi mbele ya MUNGU kuwa utawalinda watanzania na mali zao.

Mhe Rais, Watanzania wana HOFU, wanaposhuhudia Askari wanaopaswa kuwalinda wanauwawa kila uchao, wakisikia kuwa kuna wanasiasa wanasema Waziri wa Ulinzi ndio anahusika na mauaji na kwamba ni "mchezo" tu wa polisi wenyewe unaitwa "conspirancy". Yet watu wanaosema haya wapo mtaani, wanatamba na wanajitangazia ushujaa......NOOOOOOO WAY. Hatuwezi kukubali kuanza kwa udhaifu, ukiwaruhusu kuyafanya haya leo, itatengeneza precedent mbaya sana katika miaka 10 ya utawala wako. Hawa watu ni criminals, wavunja sheria, wana-impose unnecessary public fear, ni lazima kutafuta namna ya kumalizana nao. Na namna yenyewe haiwezi kuwa kuwaita kwenye meza, uwape juice, wamekalia couch wanapigwa na AC, hapana haiwezekani kuwa namna hiyo.

Hii ni NCHI, umechukua dhamana mbele yetu na mbele ya MUNGU wako, basi ilinde dhamana hiyo. Narudia tena hawa si wanademokrasia, these guys are criminals, crystal clear..!!
Kwani nani anataka kukaa meza moja na Rais?
 
Back
Top Bottom