britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
- Thread starter
- #21
Vijana wa ccm makini tupoNape kwa kweli ni kifaa sana .
Namkubali sana .
Ni mkweli, jasiri, muwazi na mpenda haki.
Kwa sasa ndani ya CCM hakuna kijana wa enzi ya sasa wa kulinganishwa na Nape enzi zake akiwa UVCM.
Ni jembe kweli kweli. Siasa anaijua sana na msomi pia.
Kutoka Moyoni hua namiubali sana Nape. Hana kinyongo cha kisiasa zaidi ya kuhubiri kile anachokiamini na kukataa kwa nguvu zote kila asichokiamini.
Huyu kada halisi wa imani ya CCM ile ya mwaka 1977.
CHADEMA wakifanikiwa kumsajili huyu kada kwa kweli watakuwa wamebakiza usajili mdogo wa baadhi ya wanasiasa ndani ya CCM ili ikamilishe usajili na kusubiri kifo cha CCM kati ya 2020 na 2025.
Ni bora CCM ikafia 2020 mana bado itakua na watu wa kuizika lakini ikilazimusha kusogeza mbele siku zake za kufa mpaka 2025 basi wakati huo haitapata hata mtu wa kuhudhuria kwenye mwisho wake.