Lihove2017
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 423
- 560
Dau/bei ya Nape Kuingia CDM ni Lowasa.wenye akili mmenielewa.
KUTOKA NAPE KAMA VUVUZELA HADI NAPE MTARAJIWA WA KUIOKOA CHADEMA. SIKU IKITOKEA HATA BRAZA CHENGE NAYE AKIONESHA DALILI ZA KUKELWA NA CCM NADHANI CDM WATAANDAMANA KWENDA BARIADI KUMWOMBA AJIUNGE NAO. FISADI AMA HUNA AKILI UKIWA CCM, SAME PERSON UKIWA CDM NI CLEAN.Nape kwa kweli ni kifaa sana .
Namkubali sana .
Ni mkweli, jasiri, muwazi na mpenda haki.
Kwa sasa ndani ya CCM hakuna kijana wa enzi ya sasa wa kulinganishwa na Nape enzi zake akiwa UVCM.
Ni jembe kweli kweli. Siasa anaijua sana na msomi pia.
Kutoka Moyoni hua namiubali sana Nape. Hana kinyongo cha kisiasa zaidi ya kuhubiri kile anachokiamini na kukataa kwa nguvu zote kila asichokiamini.
Huyu kada halisi wa imani ya CCM ile ya mwaka 1977.
CHADEMA wakifanikiwa kumsajili huyu kada kwa kweli watakuwa wamebakiza usajili mdogo wa baadhi ya wanasiasa ndani ya CCM ili ikamilishe usajili na kusubiri kifo cha CCM kati ya 2020 na 2025.
Ni bora CCM ikafia 2020 mana bado itakua na watu wa kuizika lakini ikilazimusha kusogeza mbele siku zake za kufa mpaka 2025 basi wakati huo haitapata hata mtu wa kuhudhuria kwenye mwisho wake.
Katika siasa kuna sarakasi nyingi lkn hii ya nape kwenda chadema labda 2050.nape mtoto wa mjini hawezi kupiga sarakasi kwny maji ya choo.chakubanga(pole pole) abaki kwenye nafasi yake ili 2020 alete vifact vyake uchwara CHADEMA tuweze kumnyonyoa vizuri.
NAPE tutamsajili na atakuwa katibu mwenezi wa CHADEMA 2020.
Ni kweli polepole hafit katika uenezi lakini hata asipokuwepo huyo katibu mwenezi hakuna upinzani wa kushinda.Umenikera ulivyowashtua kuhusu polepole..... Hili ndo langoustine la upinzani kushinda 2020 ..... Nyamaza.
KUTOKA NAPE KAMA VUVUZELA HADI NAPE MTARAJIWA WA KUIOKOA CHADEMA. SIKU IKITOKEA HATA BRAZA CHENGE NAYE AKIONESHA DALILI ZA KUKELWA NA CCM NADHANI CDM WATAANDAMANA KWENDA BARIADI KUMWOMBA AJIUNGE NAO. FISADI AMA HUNA AKILI UKIWA CCM, SAME PERSON UKIWA CDM NI CLEAN.
Kabisa yaanJPM amekosea sana kutokuiona strength ya Makongoro badala yake aliegemea upande mmoja wa udhaifu wa binadamu