miaka arobaini na saba iliyopita usingethubutu kuongea haya wewe kwa mkuu wa ''nji''? ha ha haMheshimiwa JK,
Wewe ni mtu mkubwa sana na kila unaloongea linapewa uzito unaostahili! Jana umedai kuwa "Mwanasheria maarufu, Tundu Lissu anachanganya Sheria na anawachanganya na wengina nao wanamwamini!"
Ombi: naomba Mhashimiwa JK utuambie ni Sheria ipi ambayo TL alichanganya na kuwachanganya wengine!
Nahofia kwamba inawezekana uliyejichanganya ni wewe kwa kutokujua Sheria!
Au unaposikia akina Jaji Werema anaporusha madongo huko Bungeni unaamini kuwa madongo hayo yana ukweli wowote! Hata hivyo ulituambia kuwa akili za kuambiwa changanya na za kwako! Kwa hiyo nilikuwa natarajia kuwa angalau za kuambiwa/kusikia ungechanganya na za kwako! Otherwise unajidhalilisha sana kuponda mtu ambaye ana-Practice fani ambayo hujui lolote au unajua kidogo kuhusu fani hiyo!
Wewe huoni kuwa JK huwa ana kinyongo kisichoisha na Tundu Lissu utafikiri kuna hidden agenda? Rejea kauli ya kwanza kabisa kuwa ni afadhali Dr Slaa kuingia Ikulu kuliko Tundu Lissu kuingia Bungeni! This is too low for our President kufanya personal attacks na mtu binafsi!
Inawasaidia wewe na nani?
Ungeanza wewe kueleza hayo ambayo ame practise TL ambayo wewe unayaona muhimu, kama sivyo nawe ni kama JK kwa maana hoja yako haitoshelezi kutoa hukumu.
miaka arobaini na saba iliyopita usingethubutu kuongea haya wewe kwa mkuu wa ''nji''? ha ha ha
Mheshimiwa JK,
Wewe ni mtu mkubwa sana na kila unaloongea linapewa uzito unaostahili! Jana umedai kuwa "Mwanasheria maarufu, Tundu Lissu anachanganya Sheria na anawachanganya na wengina nao wanamwamini!"
Ombi: naomba Mhashimiwa JK utuambie ni Sheria ipi ambayo TL alichanganya na kuwachanganya wengine!
Nahofia kwamba inawezekana uliyejichanganya ni wewe kwa kutokujua Sheria!
Au unaposikia akina Jaji Werema anaporusha madongo huko Bungeni unaamini kuwa madongo hayo yana ukweli wowote! Hata hivyo ulituambia kuwa akili za kuambiwa changanya na za kwako! Kwa hiyo nilikuwa natarajia kuwa angalau za kuambiwa/kusikia ungechanganya na za kwako! Otherwise unajidhalilisha sana kuponda mtu ambaye ana-Practice fani ambayo hujui lolote au unajua kidogo kuhusu fani hiyo!
Rais alikuwa anatania tu, hafu naomba umwache anakazi nyingi sana za kufanya, kwasasa anasuka upya baraza la mawaziri, wajumbe 201 wa bunge la katiba, operation tokomeza phaseII, tumpe muda tafadhali
Sioni tatizo AMA Kosa kwa JK maana ya TL nayo du!
Mkuu hujui usemalo, 2015 si mbali!
sisi kama jamii ya watanzania.Inawasaidia wewe na nani?
we bweghe kweli kweli kwani we umeona hilo ni swali la kuniuliza, wakati majibu unayo.We bweghe kweli kweli kwani leo ni miaka 47 iliyopita?
Nahofia kwamba inawezekana uliyejichanganya ni wewe kwa kutokujua Sheria!
Ni wakati gani alimtaja Lisu? Hakuna popote alipomtaja ila watu mmeshuku kuwa alimtaja yeye kwa sababu ya hulka yakeMheshimiwa JK,
Wewe ni mtu mkubwa sana na kila unaloongea linapewa uzito unaostahili! Jana umedai kuwa "Mwanasheria maarufu, Tundu Lissu anachanganya Sheria na anawachanganya na wengina nao wanamwamini!"
Ombi: naomba Mhashimiwa JK utuambie ni Sheria ipi ambayo TL alichanganya na kuwachanganya wengine!
Nahofia kwamba inawezekana uliyejichanganya ni wewe kwa kutokujua Sheria!
Au unaposikia akina Jaji Werema anaporusha madongo huko Bungeni unaamini kuwa madongo hayo yana ukweli wowote! Hata hivyo ulituambia kuwa akili za kuambiwa changanya na za kwako! Kwa hiyo nilikuwa natarajia kuwa angalau za kuambiwa/kusikia ungechanganya na za kwako! Otherwise unajidhalilisha sana kuponda mtu ambaye ana-Practice fani ambayo hujui lolote au unajua kidogo kuhusu fani hiyo!