Ombi letu wanywaji(alcoholics)

asee hapa stii neno nina kili km 5 kichwani na moja mkononi! in fwakiti,im drinkingi beer to save water!!!!!!!!!
 
sasa hii bei ya bia inavyopanda wakati huduma za hospitali zimezidi kuwa mbaya maana yake nini.
 
Naanza na kuwapa pole sana wakata kilaji, leo ni siku ya pili bia aino zote zimepanda kwa nyongeza ya sh100 hadi 200.00. Nilipouliza kulikoni wengi walijibu umeme ndio umeleta balaa hili. nami najipa pole kwa kuwa huwa silari bila kupata, hii itapunguza idadi ya bia pamoja na wale waliozoea kuomba maana sasa itakuwa elfu 2000.00, kwa wale wenzangu wa "Afadhali nimekuona" wa pale Namanga Oysterbay na pale Mango Garden watakoma.
 
Jana nimeenda sehemu na ka40 changu nikiwa na washkaji zangu wawili. Nikajua tutapiga bia tano tano kwa bei yetu ya 1,800/= @ na kakuku ka kuzugia. Bili ilivyokuja nikabaki mdomo wazi,bia sh 2,000/=. JK at work!
 
Jana nimeenda sehemu na ka40 changu nikiwa na washkaji zangu wawili. Nikajua tutapiga bia tano tano kwa bei yetu ya sh 1,800/= @ na kakuku ka kuzugia. Bili ilivyokuja nikabaki mdomo wazi,bia sh 2,000/=. JK at work!
 
Naanza na kuwapa pole sana wakata kilaji, leo ni siku ya pili bia aino zote zimepanda kwa nyongeza ya sh100 hadi 200.00. Nilipouliza kulikoni wengi walijibu umeme ndio umeleta balaa hili. nami najipa pole kwa kuwa huwa silari bila kupata, hii itapunguza idadi ya bia pamoja na wale waliozoea kuomba maana sasa itakuwa elfu 2000.00, kwa wale wenzangu wa "Afadhali nimekuona" wa pale Namanga Oysterbay na pale Mango Garden watakoma.

Bia zilizopanda bei ni zile zinazotengenezwa na kampuni ya TBL tu.
Nakushauri uangalie mbadala maana bia ni bia tu achana na mjina. Mnazi bado bei chini sana tu.
 
Naanza na kuwapa pole sana wakata kilaji, leo ni siku ya pili bia aino zote zimepanda kwa nyongeza ya sh100 hadi 200.00. Nilipouliza kulikoni wengi walijibu umeme ndio umeleta balaa hili. nami najipa pole kwa kuwa huwa silari bila kupata, hii itapunguza idadi ya bia pamoja na wale waliozoea kuomba maana sasa itakuwa elfu 2000.00, kwa wale wenzangu wa "Afadhali nimekuona" wa pale Namanga Oysterbay na pale Mango Garden watakoma.

Ha ha ha ha haaa silari!?
 
Maji ndo usiseme Uhai 5LT imetoka 1700 hadi 2200 sasa hii ni hatari
 
Kila budget inaposomwa utasikia kodi ya vinywaji iko juu.sio mbaya labda mnataka tuache unywaji wa kupindukia.ombi letu sisi kama wanywaji na wachangiaji wakubwa wa kodi serikalini ni moja;tunaomba mboreshe huduma za matibabu haswa upande wa matibabu ya moyo,figo na ini.haya magonjwa yanaua sana walipa kodi wenu!tukumbukeni na sisi walevi jamani!tambueni mchango wetu kwenye budget jamani!
Neno alcoholic ni zito na halina maana ya mnywaji kama unavyojieleza wewe au mlevi(drunkard)
 
Kula bia upate akili!! Sisi hatugomi! Pandisheni tu bei msihofu! We run this country bana,mkifulia tu mnakimbilia bei za bia!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom