Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
asee hapa stii neno nina kili km 5 kichwani na moja mkononi! in fwakiti,im drinkingi beer to save water!!!!!!!!!
Naanza na kuwapa pole sana wakata kilaji, leo ni siku ya pili bia aino zote zimepanda kwa nyongeza ya sh100 hadi 200.00. Nilipouliza kulikoni wengi walijibu umeme ndio umeleta balaa hili. nami najipa pole kwa kuwa huwa silari bila kupata, hii itapunguza idadi ya bia pamoja na wale waliozoea kuomba maana sasa itakuwa elfu 2000.00, kwa wale wenzangu wa "Afadhali nimekuona" wa pale Namanga Oysterbay na pale Mango Garden watakoma.
He he Yesu anawapenda okokeni haraka
Naanza na kuwapa pole sana wakata kilaji, leo ni siku ya pili bia aino zote zimepanda kwa nyongeza ya sh100 hadi 200.00. Nilipouliza kulikoni wengi walijibu umeme ndio umeleta balaa hili. nami najipa pole kwa kuwa huwa silari bila kupata, hii itapunguza idadi ya bia pamoja na wale waliozoea kuomba maana sasa itakuwa elfu 2000.00, kwa wale wenzangu wa "Afadhali nimekuona" wa pale Namanga Oysterbay na pale Mango Garden watakoma.
Neno alcoholic ni zito na halina maana ya mnywaji kama unavyojieleza wewe au mlevi(drunkard)Kila budget inaposomwa utasikia kodi ya vinywaji iko juu.sio mbaya labda mnataka tuache unywaji wa kupindukia.ombi letu sisi kama wanywaji na wachangiaji wakubwa wa kodi serikalini ni moja;tunaomba mboreshe huduma za matibabu haswa upande wa matibabu ya moyo,figo na ini.haya magonjwa yanaua sana walipa kodi wenu!tukumbukeni na sisi walevi jamani!tambueni mchango wetu kwenye budget jamani!
"Wine is a mocker, strong drink is a brawler, and whoever is led astray by it is not wise." (Proverbs 20:1, NKJV)