Ombi la Msukuma kwa Rais katika jimbo lake

Ombi la Msukuma kwa Rais katika jimbo lake

Safi sana haya ndo maumbo ya kisukuma haswa

20190714_182118.png
 
Joseph Musukuma. "Mh. Rais shida yangu ni Moja tu, jimbo zima hakuna askari wa kike, nikiomba naambiwa mgao, ikikupendeza ukiagiza hapa nipewe wanne, watu wanapekuliwa na askari wa kiume na maumbile yetu wasukuma unayajua"

View attachment 1154299
Huyu sio bure anamtaka yule afande wa kike alisheherekea birthday yake majuzi kati na Jokate akampost full hips
 
Hahaha acheni wivu hata hili mnapinga?! Musukuma anataka apekuliwe na wanawake na siyo wanaume wenzake, tatizo liko wapi?! Pascal Mayalla njoo huku watu hawataki maendeleo usukumani, mbunge kawasemea wananchi wake wana JF wanapinga. Maendeleo hayana vyama.
 
Back
Top Bottom