Uzi tayari duuu
Poa poa tumeonaaaJoseph Musukuma. "Mh. Rais shida yangu ni Moja tu, jimbo zima hakuna askari wa kike, nikiomba naambiwa mgao, ikikupendeza ukiagiza hapa nipewe wanne, watu wanapekuliwa na askari wa kiume na maumbile yetu wasukuma unayajua"
View attachment 1154299
Vinyuzi kama hivi ndio unavipendaa.Joseph Musukuma. "Mh. Rais shida yangu ni Moja tu, jimbo zima hakuna askari wa kike, nikiomba naambiwa mgao, ikikupendeza ukiagiza hapa nipewe wanne, watu wanapekuliwa na askari wa kiume na maumbile yetu wasukuma unayajua"
View attachment 1154299
Haya, nakubali yaishe.Ulitaka nipende nini?
Duuu!Pole Mh. MSUKUMA
WP ni wachache na mahitaji ni makubwa. Endelea kuwasihi wananchi wa Jimbo lako kuendelea kumiliaView attachment 1154325
Amemaanisha wamama wa Kisukuma wanapekuliwa na askari wa kiume kwa ukosefu wa Askari wa kike ilhali maumbo yao yanajulikana.Hapo mwishoni sijaelewa kwa Ndugu Msukuma. Kwani maumbile ya wasukuma wanaopekuliwa na askari wa kiume badala ya wanawake( wasukuma wanawake) yakoje?
Aione: manengelo
Hapo mwishoni sijaelewa kwa Ndugu Msukuma. Kwani maumbile ya wasukuma wanaopekuliwa na askari wa kiume badala ya wanawake( wasukuma wanawake) yakoje?
Aione: manengelo
Hapo mwishoni sijaelewa kwa Ndugu Msukuma. Kwani maumbile ya wasukuma wanaopekuliwa na askari wa kiume badala ya wanawake( wasukuma wanawake) yakoje?
Aione: manengelo
Maumbo visu namba naneHapo mwishoni sijaelewa kwa Ndugu Msukuma. Kwani maumbile ya wasukuma wanaopekuliwa na askari wa kiume badala ya wanawake( wasukuma wanawake) yakoje?
Aione: manengelo
Anataka kumaanisha maumbile ya wanawake ya kisukuma yakoje?Joseph Musukuma. "Mh. Rais shida yangu ni Moja tu, jimbo zima hakuna askari wa kike, nikiomba naambiwa mgao, ikikupendeza ukiagiza hapa nipewe wanne, watu wanapekuliwa na askari wa kiume na maumbile yetu wasukuma unayajua"
View attachment 1154299
