thee kid
Member
- May 13, 2019
- 64
- 48
Heshima zenu wakuu! Kama kichwa Cha Uzi kinavyojieleza.
Mimi ni Kijana wa miaka 23 Nina shahada ya kwanza (Bachelors degree) ya usimamizi ya Manunuzi na Ugavi niliyohitimu mwaka 2022.Tokea nimehitimu sijabahatika Bado kupata kazi,hivyo basi ninaandika Uzi huu kuomba kama Kuna mtu yeyote humu jukwaani anaeweza nisaidia kupata kazi anisaidie...
Pia Nina ujuzi wa Kutosha wa kutumia kompyuta hasa katika mambo ya Graphics designing
NAOMBENI msaada wakuu wangu
Mawasiliano yangu ni 0714189190 napatikana Vingunguti-Dar es salaam.
Mimi ni Kijana wa miaka 23 Nina shahada ya kwanza (Bachelors degree) ya usimamizi ya Manunuzi na Ugavi niliyohitimu mwaka 2022.Tokea nimehitimu sijabahatika Bado kupata kazi,hivyo basi ninaandika Uzi huu kuomba kama Kuna mtu yeyote humu jukwaani anaeweza nisaidia kupata kazi anisaidie...
Pia Nina ujuzi wa Kutosha wa kutumia kompyuta hasa katika mambo ya Graphics designing
NAOMBENI msaada wakuu wangu
Mawasiliano yangu ni 0714189190 napatikana Vingunguti-Dar es salaam.