kevoo20
New Member
- Oct 22, 2024
- 1
- 0
Habari wana JamiiForums, jina langu ni Kelvin Mwakyoma nina umri wa miaka 23 mkazi wa Kimara jijini Dar es Salaam ni muhitimu wa chuo cha Usimamizi wa Fedha katika stashahada ya uhasibu mwaka 2025
Mwenye kazi yoyote halali inayohitaji usaidizi naomba huwa sichagui kazi kwani najiamini katika bidiii , uhaminifu na kujifunza zaidi
Kwa mawasiliano napatikana kupitia,
Whatsapp 0672696226
Kawaida 0713408152
email: mwakyomakelvin5@gmail.com
Mwenye kazi yoyote halali inayohitaji usaidizi naomba huwa sichagui kazi kwani najiamini katika bidiii , uhaminifu na kujifunza zaidi
Kwa mawasiliano napatikana kupitia,
Whatsapp 0672696226
Kawaida 0713408152
email: mwakyomakelvin5@gmail.com