Kwanza naipongeza Serikali ya awamu ya tano kwa kuhamia Dodoma.
Hivyo naimani Ikulu ya Dar Itabaki kuwa Ikulu ndogo kama zilivyo Ikulu zingine za kila mkoa.
Kwahiyo tunaomba wenye mamlaka; endapo itawapendeza jaribuni kutufungulia ile barabara sisi wananchi angalau kama ilivyokuwa awali.
Sote ni binadam! Sioni sababu ya kuendelea kuifunga hiyo njia kwasababu kama kuna magaidi wanaweza Fanya ambushi kupitia hata upande wa ocean road au upande wa chuo cha magogoni!
Hakuna sababu ya kufunga upande mmoja na kufungua upande mwingine! Kama ni walinzi wekeni doria huko baharini ikiwezekana jengeni mnara wa walinzi au boat ya walinzi ikae baharini! Lakini hiyo barabara waachieni RAIA wapite!
Hivyo naimani Ikulu ya Dar Itabaki kuwa Ikulu ndogo kama zilivyo Ikulu zingine za kila mkoa.
Kwahiyo tunaomba wenye mamlaka; endapo itawapendeza jaribuni kutufungulia ile barabara sisi wananchi angalau kama ilivyokuwa awali.
Sote ni binadam! Sioni sababu ya kuendelea kuifunga hiyo njia kwasababu kama kuna magaidi wanaweza Fanya ambushi kupitia hata upande wa ocean road au upande wa chuo cha magogoni!
Hakuna sababu ya kufunga upande mmoja na kufungua upande mwingine! Kama ni walinzi wekeni doria huko baharini ikiwezekana jengeni mnara wa walinzi au boat ya walinzi ikae baharini! Lakini hiyo barabara waachieni RAIA wapite!