Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
- Thread starter
- #21
Poor comment ever !Kwa nini chadema na Lowassa msijenge kwanza ili muweze kumkosoa vizuri Magufuli na hivyo kupata fursa ya kumletea mtikisiko mwaka 2020?
Nadhani hii ndiyo golden chance kwa chadema na Lowassa kumuonesha Magufuli wka vitendo kwamba mnaweza na hivyo kuwashawishi wapiga kura 2020.