jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,816
- 7,590
Hii kwa wote nafikiriNina imani katazo lake linahusu shule za serikali, ila za binafsi watawachukua.
Hii kwa wote nafikiriNina imani katazo lake linahusu shule za serikali, ila za binafsi watawachukua.
Unajua kwanini wagonjwa wa UKIMWI wanapewa ARV bure ? Na umewahi kusikia VIONGOZI WA TANZANIA WAKIGOMEA KUWAPA BURE ARV WATANZANIA WENYE UKIMWI ( maana ni ugonjwa unaopatikana 98% kwa ngono za kizembe ) , unajua kisa cha viongozi wako kujikausha katika hili ?Jitahidini kulea watoto kwenye maadili mema na nyie vijana acheni tabia ya kutafuta mteremko kwa kutongoza wanafunzi ..Sio mfanye ujinga ujinga alafu uje kumlamu rais.
Yaani unalinganisha suala ukimwi na kupata mimba kwa watoto wa shule. Wewe kama unaona hakuna shida kwa wanagunzi kuzaa wakiwa shuleni, zaa wa kwako halafu umfundishe kufanya ngono akiwa bado shule. Hawa wa wenzako waache tuwaambie kuwa waache ngono wakiwa bado shule na wakikaidi kuna consequences.Unajua kwanini wagonjwa wa UKIMWI wanapewa ARV bure ? Na umewahi kusikia VIONGOZI WA TANZANIA WAKIGOMEA KUWAPA BURE ARV WATANZANIA WENYE UKIMWI ( maana ni ugonjwa unaopatikana 98% kwa ngono za kizembe ) , unajua kisa cha viongozi wako kujikausha katika hili ?
NGO nyingi za kizungu wewe huzielewi zikitaka kupiga hela kwa donors nchini kwao hutunga project fake Ili Wafadhili wamwage pesa kwa kisingizio cha kuhudumia wagonjwa wa ukimwi . Waweza peleka taarifa kwao kuwa nusu ya watanzania wana ukimwi kwa utafiti waliofanya hivyo nchi iko hatarini Na hili la mimba wanataka kuibia donors wao ndio wanawatuma vibaraka wao Kama wewe upige debe kujustfy wao wawalagai donors wao. Uwe mzalendo pleaseUnajua kwanini wagonjwa wa UKIMWI wanapewa ARV bure ? Na umewahi kusikia VIONGOZI WA TANZANIA WAKIGOMEA KUWAPA BURE ARV WATANZANIA WENYE UKIMWI ( maana ni ugonjwa unaopatikana 98% kwa ngono za kizembe ) , unajua kisa cha viongozi wako kujikausha katika hili ?
Hivi kuna Nchi yoyote wana sheria ambayo inaruhusu mwanafunzi aliyejifungua kubreak masomo kwa Government schools na kwenda kunyonyesha then kurudi shule?
Kwa upande mwingine - kama tungekuwa na open policy ya kuwaruhusuu "wanafunzi-wazazi" walio tayari kurudi masomoni kwa hiari yao wenyewe baada ya miaka miwili ya kunyonyesha, yale yote anayoyahofia JPM hayawezi kutokea. Suprisingly unaweza kukuta ni mmoja out of 20.
Hujajibu swali langu .Ngo za kizungu wewe huzielewi zikitaka kupiga hela kwa donors nchini kwao hutunga project fake Ili Wafadhili wamwage pesa kwa kisingizio cha kuhudumia wagonjwa wa ukimwi . Waweza peleka taarifa kwao kuwa nusu ya watanzania wana ukimwi kwa utafiti waliofanya hivyo nchi iko hatarini Na hili la mimba wanataka kuibia donors wao ndio wanawatuma vibaraka wao Kama wewe upige debe kujustfy wao wawalagai donors wao. Uwe mzalendo please
Ubarikiwe .Kwenye nchi zilizoendelea, mimba mashuleni ni nadra sana kiasi kwamba siyo suala linalohitaji mtazamo wa kisera. Hata hapa tz hili suala hali affect jamii zote kwa usawa unaofanana. Kumbuka alichosema Nchemba bungeni juzi. Ukweli ni kwamba hili tamko halitadhuru jamii "zilizostaarabika" kama litavyodhuru jamii zetu zingine zilizo pembezoni. Kazi kwetu.
Umeandika kwa kiwango cha chini sana !Yaani unalinganisha suala ukimwi na kupata mimba kwa watoto wa shule. Wewe kama unaona hakuna shida kwa wanagunzi kuzaa wakiwa shuleni, zaa wa kwako halafu umfundishe kufanya ngono akiwa bado shule. Hawa wa wenzako waache tuwaambie kuwa waache ngono wakiwa bado shule na wakikaidi kuna consequences.
Wanatoa Arv bure Na kuipa serikali bajeti itoe arv bure wakipata pesa kwa donors wao kwenye nchi zao. Ukitaka kufumua kashfa kubwa Ya kimataifa uliza swali donors walitoa ARV kiasi na kwa nani Tanzania na ripoti walizotoa kwa donors wao zinazoonyesha walitoa ARV ngapi direct au kwa kuipa serikali msaada wewe unapigia debe hizi NGO za wazungu wapate project idea fake waiandikie proposal wakawaibie wazungu wenzaoHujajibu swali langu .
Watatolewa nduki na mtutu wa bundukiKweli mkuu erythrocyte naunga mkono hoja yakk
Unaonaje kama serikali ya Tanzania ikiachana na matumizi ya ARV kwa raia wake ili kuwakomesha waache ngono za kizembe ?Wanatoa Arv bure Na kuipa serikali bajeti itoe arv bure wakipata pesa kwa donors wao kwenye nchi zao. Ukitaka kufumua kashfa kubwa Ya kimataifa uliza swali donors walitoa ARV kiasi na kwa nani Tanzania na ripoti walizotoa kwa donors wao zinazoonyesha walitoa ARV ngapi direct au kwa kuipa serikali msaada wewe unapigia debe hizi NGO za wazungu wapate project idea fake waiandikie proposal wakawaibie wazungu wenzao
Wewe siye niliyekujibuAcha kujitoa akili sio kola anaepinga mawazo ya rais ni cdm. Jaribu kujitegemea kimawazo kama umeshindwa soma tu sio lazima uandike
.Poor comment ever !
Unafiki wetu ni upi ?.
Mnasakizia wengine watende nyinyi mnakaa pembeni tu. Wanafiki wakubwa nyie
Tendeni mnachokiamini siyo kusakizia wengineUnafiki wetu ni upi ?