Mpeleke jimbo la kijijini kwenu ulipotokaWakuu
Nachelea kusema kwa sasa mh Paul Makonda hana mpinzani kwa jiji zima kufuatia vita aliyopigana nayo na kuishinda
Ni wazi RC huyu wa Dar anauwezo mkubwa kiutawala na mbunifu katika kutuletea wananchi maendeleo
Ushauri, Paul makonda kwa haya unayotufanyia wanaDar es salaam hakika unafaa sana kuwa mbunge wa moja ya majimbo ya jiji hili
Haikuhitaji wewe urudi huko koromije ukaanze kupambana na akina Gwajima wakati unaweza na wananchi tunakupenda tunakuhitaji pia
Kwa kuanzia tu, (majimbo yote unafaa) lakini zaidi ni vema ukatuondolea huyu Halima mdee huku kawe maana tumemchoka na siasa zake za kitoto zisizotupa maendeleo yoyote hadi sasa hatuwakilishi bungeni akitumikia yake
Karibu sana mh Paul Makonda, jimbo la kawe linakuhitaji!
Sent using Jamii Forums mobile app