Omba yasikukute eh!!!

Omba yasikukute eh!!!

Nadhan labda ni Dstv au Azam.
Na utakosa tamthiliya zako za Kimbea.

Maana Hivi vingine vya simu hata buku 1 unaishi kwa siku.

Tmr unapambana upate hela uweke kikubwa zaidi.

Au Labda tuambie kuwa unamtegemea yeye 100% ili maisha yako yaende. Na kuwa hujajifunza tu kuwa Wanawake na wao wanatakiwa wachakarike.
Kaka leo weekend tunakula pombe wapi bwashee
 
Workmate.
Mh Dkt Evelyn Salt, waziri wa Fedha na Mipango serikali teule ya Mh Rais Dennis Roberts. 👋👋👋
Kuna mtu katoa uzi wa kumdiss rais wetu, inabidi tumvagae kama wafanyavyo chawa wa mama 😂😂😂

Ila pia nawaza utakuta huyo mtu ni rais mwenyewe kaamua kuja kujidiss ili tumuongelee, make rais wetu nae ana mambo mengi 😂
 
Kaka leo weekend tunakula pombe wapi bwashee
Bro. Niko Goba center hapa. plan B.
Leo mdogo mdogo, natafuta hamu ya kula tu. tmr ndio siku ya kupata Kimea zaid.

A54FDE11-E606-477F-A734-BE4C89861804.jpeg
 
Kuna mtu katoa uzi wa kumdiss rais wetu, inabidi tumvagae kama wafanyavyo chawa wa mama 😂😂😂

Ila pia nawaza utakuta huyo mtu ni rais mwenyewe kaamua kuja kujidiss ili tumuongelee, make rais wetu nae ana mambo mengi 😂
Sijauona huo uzi aisee...

Ngoja niutafute nikatie neno, asituharibie maisha kabisa.😂😂😂

Akimponda Raisi ina maana kaponda baraza letu lote la mawaziri. Lazima tudeal nae

Rais amenyooka hawez fanya ile mambi tena. Kukosea ni mara moja tu.
 
Back
Top Bottom