Riadha jr
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 567
- 334
Sio lazima useme ulipaki gari. Siku hizi wengi ndio wenye magari. Acha ushamba wa ki singida.
mkuu ilo povu la nini ivi vitu vya kawaida tuu-ni maelezo tu kwa jumla -mbona mtu akisema nika fika nyumbani hamuulizi kumbe una kwako-gari aja sema ni yake au ni ya kazini-na hata kwako ina wezekana nyumba yako au mpangaji-tusiwe na roho za kwa nini-maendeleo haji kwa kauli zinazo onesha kusto taka kushindwa
