Leo mida ya saa 4 asubuhi nilikuwa nimepaki gari manispaa ya temeke ,akaja mtu wa makamo kavaa kawaida sana akaniomba nauli ya kwenda kawe nikamjibu sina ,baada ya muda roho ikajistukia nikashuka nikamfuata nikampa elfu 2 zilikuwa buku buku akaenda nikapata hamu ya kutaka kujua kuwa ni mkweli au la nikijifanya kama naondoka nikarudi bila ya yy kuniona .
Japo la kwanza alipofika pale stand alikuta kuna vipofu akatoa hela akawapa nahisi ni ile buku 1 na pili kweli alipanda gari la kawe tofauti na omba omba wengi walivyo huyu waleo ni wakipekee
My take akikujia mtu anataka kitu kama unaweza msaidie ,haijilishi km ni mkweli au muongo Kwa kuwa wapo wengine wa kweli na hauwezi kuwajua
Na katu usimnyime anaeomba akale.
Japo la kwanza alipofika pale stand alikuta kuna vipofu akatoa hela akawapa nahisi ni ile buku 1 na pili kweli alipanda gari la kawe tofauti na omba omba wengi walivyo huyu waleo ni wakipekee
My take akikujia mtu anataka kitu kama unaweza msaidie ,haijilishi km ni mkweli au muongo Kwa kuwa wapo wengine wa kweli na hauwezi kuwajua
Na katu usimnyime anaeomba akale.