Limbwata nilikolipata Safari hii si la mchezoHalafu tokea ianze koona Asprin haonekani kabisa jukwaani, umemfungia nyumbani unampiga nyungu au ndio kanyang'anywa simu halafu kaenda kuungana na swahiba wake pierr liquid wanapiga K-Vant za Ilala?
Sio kwamba wazungu wana kinga ndogo. Mazingira ya baridi kali mafua yanasumbua sana. Hata ukiwa mwafrika baridi la ulaya mafua yake weza poteza maisha
Shkamoo babuMi nakuangalia tu afu nacheka hi hi hi....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Limbwata nilikolipata Safari hii si la mchezo
😂😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu limbwata lenyewe unamchanganyia kwenye nyungu, akimaliza kujifukiza anakunywa na glass moja.
umeshawahi kusikia kuwa ulaya na marekani watu wanakufa kwa mafua.na hii ni muda mrefu tu kabla ya corona
Pierr Liquid ndo nani? Mi labda uniambie nimsalimie BashiteShkamoo babu
Naskia K-vant za Ilala zone ladha ya pekee kabisa pia ni tamu balaa.
Msalimie sana pierr liquid,
I second u[emoji122][emoji122][emoji122]Mafua Kwa mzungu ni deadily disease , in short jamaa wapo vizur Sana upande wa safety , kwao kauli mbiu ni usalama Kwanza , wapo very sensitive kutengeneza defence Kwa ajili ya usalama wao, hata makazin kwao wakigundua unafanya kazi huku hali yako kiafya sio nzur wanaweza wakakutimua kazi...ni heri utoe taarifa kabisa na ustay home mpak ukae mkao...
Africa tunaishi kama wanyama wa mwituni , hatuna humanity kuanzia viongozi wa kisiasa mpak sisi wenyewe hatujali usalama wetu kabisa , na swala la afya sio kipaumbele Kwa nchi nyingi za Africa ,
Madaktari wa Africa wanafanya kazi under high risk and miserable condition , na wanakuwa overloaded, Africa watu wengi wanakufa Kwa kukosa uangalifu wa kiafya , hospital kubwa kama huna pesa unaenda kujifia tuu ,..... Ukiishi Africa ombea Tu afya yako iwe imara , vinginevyo ni majanga , ukipata chance ya kuishi ulaya nenda kaishi huko aisee , Bora urudi huku ukiwa maiti
Haahaahaa...hii formula nsitumiaga sana ofisini,Nina boss wangu Mzungu...wewe ukiwa na issue zako za kukimbizana mtaani mpigie simu tu mwambie una flu. ...wakati unampigia simu ziba pua ili sauti ya mafua mafua itoke....siku 5 za ku recover ...
Mtu mmoja majina ntofauti ntotauti[emoji16][emoji16]Watu mnajua kuotea nyuzi mnazotajwa hivi mnajuaje
Aaah wapi?Sio kwamba wazungu wana kinga ndogo. Mazingira ya baridi kali mafua yanasumbua sana. Hata ukiwa mwafrika baridi la ulaya mafua yake weza poteza maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba wazungu wana kinga ndogo. Mazingira ya baridi kali mafua yanasumbua sana. Hata ukiwa mwafrika baridi la ulaya mafua yake weza poteza maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaah!Ulaya. Hii mafua Makali hasa what we call „Grippe „ Lakini kuua mwafrica. Sijui labda mazingira yangu tu. Sijawahi Sikiq mwafrika kafariki. 11 years now. Ila wazungu hufariki kweli. Kabla ya corona haijachanganya. Grippe [emoji1784] ilionekana Hatari. Sasa Sijui itakuwaje Herbst na Winter. I can not imagine. Kumaliza mwaka huu ndo Mafanikio Makubwa ya mwanadamu hapa Ulaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipenda iyoKuna siku niliingia pharmacy wakaniuliza kama wanichanje mafua, nikawambia miye ngozi nyeusi huwa sisumbuliwi na mafua, jogoo halifi kwa utitiri....wakabaki wanatabasamu tu....