Omba Mungu usipate mafua hapa ulaya

Omba Mungu usipate mafua hapa ulaya

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
15,829
Reaction score
40,372
Narudia Tena omba Mungu usipate mafua hapa ulaya utaomba ardhi ipasuke.

Waafrika tuna vimafua flani vya kikuda hasa ukiwa maeneo ya baridi Kama tukuyu pale isonje au Arusha.

Vimafua hivi tukiwa bongo tunavichukulia poa tu ; tunafuta na leso au wale wasio wastaarabu wanafuta kwa mkono.

Sasa ole wako hivyo vimafua vikukute hapa ulaya utapachukia maana polisi watakuwa wako VYOMBO vyote vya usalama wa Jamii utakuwa halali yake .

Achilia mbali unyanyapaa ambao unaweza kudumu kwa mwaka mzima.

Mwafrika ukipata haya mafua ya kawaida hapa ulaya kwasasa hata marafiki hutawaona mpaka 2021 .

Wengine walioko hapa ulaya watupe uzoefu hasa hapa Italy.
 
Narudia Tena omba Mungu usipate mafua hapa ulaya utaomba ardhi ipasuke.

Waafrika tuna vimafua flani vya kikuda hasa ukiwa maeneo ya baridi Kama tukuyu pale isonje au Arusha.

Vimafua hivi tukiwa bongo tunavichukulia poa tu ; tunafuta na leso au wale wasio wastaarabu wanafuta kwa mkono.

Sasa ole wako hivyo vimafua vikukute hapa ulaya utapachukia maana polisi watakuwa wako VYOMBO vyote vya usalama wa Jamii utakuwa halali yake .

Achilia mbali unyanyapaa ambao unaweza kudumu kwa mwaka mzima.

Mwafrika ukipata haya mafua ya kawaida hapa ulaya kwasasa hata marafiki hutawaona mpaka 2021 .

Wengine walioko hapa ulaya watupe uzoefu hasa hapa Italy.
Njoo bongo tupige nyungu.
 
Wanachukua tahadhari dhidi ya Corona, kwani hujasikia wahenga wakisema; "aliyegongwa na nyoka akiona unyasi hushituka".
 
Mafua Kwa mzungu ni deadily disease , in short jamaa wapo vizur Sana upande wa safety , kwao kauli mbiu ni usalama Kwanza , wapo very sensitive kutengeneza defence Kwa ajili ya usalama wao, hata makazin kwao wakigundua unafanya kazi huku hali yako kiafya sio nzur wanaweza wakakutimua kazi...ni heri utoe taarifa kabisa na ustay home mpak ukae mkao...
Africa tunaishi kama wanyama wa mwituni , hatuna humanity kuanzia viongozi wa kisiasa mpak sisi wenyewe hatujali usalama wetu kabisa , na swala la afya sio kipaumbele Kwa nchi nyingi za Africa ,

Madaktari wa Africa wanafanya kazi under high risk and miserable condition , na wanakuwa overloaded, Africa watu wengi wanakufa Kwa kukosa uangalifu wa kiafya , hospital kubwa kama huna pesa unaenda kujifia tuu ,..... Ukiishi Africa ombea Tu afya yako iwe imara , vinginevyo ni majanga , ukipata chance ya kuishi ulaya nenda kaishi huko aisee , Bora urudi huku ukiwa maiti
 
Hapa saudia ukikohoa kidogo tu
Wao n ugali ww ndo mboga yao


stidy
 
Kwani huko tangawiz,asali mbichi,limao hamna chemsha hiyo kitu kunywa kutwa mara tatu uone mafua kikohozi vitakavyokupitia mbali
Narudia Tena omba Mungu usipate mafua hapa ulaya utaomba ardhi ipasuke.

Waafrika tuna vimafua flani vya kikuda hasa ukiwa maeneo ya baridi Kama tukuyu pale isonje au Arusha.

Vimafua hivi tukiwa bongo tunavichukulia poa tu ; tunafuta na leso au wale wasio wastaarabu wanafuta kwa mkono.

Sasa ole wako hivyo vimafua vikukute hapa ulaya utapachukia maana polisi watakuwa wako VYOMBO vyote vya usalama wa Jamii utakuwa halali yake .

Achilia mbali unyanyapaa ambao unaweza kudumu kwa mwaka mzima.

Mwafrika ukipata haya mafua ya kawaida hapa ulaya kwasasa hata marafiki hutawaona mpaka 2021 .

Wengine walioko hapa ulaya watupe uzoefu hasa hapa Italy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom