bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,627
- 789
Wewe kwa ufahamu wako ili mtu ashitakiwe kwa kesi ya Uhaini afanye mambo gani ili uwe uhaini?Wewe ndiyo kilaza ,rudia kusoma tena doc uliyoweka hapa ,Dr Slaa/Mwabukusi/Mdude hawajakidhi vigezo vya kushitakiwa kwa uhaini.....Tatizo mnalazimisha kesi sizizo na kichwa wala miguu na mnaenda kudondokea pua ,Kibatala anakuja Mbeya huko ,yaani hii case hata Mtu asiyejua sheria anawadondosha mahakamani.