nyie humu ndani bado mnatuletea upuuzi hivi rais aliyechaguliwa na wananchi mnataka tusimpe vitisho kwanini? naomba muwe werevu rais anakoromewa na raia bila kujali hali yake rais ni nani kwa raia wewe?
kikwete anawajibika kwa upumbavu wote unaofanyika bila kujali ujinga wake ni gharama kwa damu ya watu, nani hajui Bhutto amekufa na watu wengi sana?
nani hajui kilichowaua ni demokrasia nani hajui gharama ya demokrasia ni ghali sana hata damu ya watu ? mnataka nini tufikie huko kwa uzembe wa kughushi report? anayeogopa kumshinikiza rais awe kimya na atuache sisi tunaojua kila madhara ya kuchezea amani ikipotea kikwete marekani wewe unayeleta mzaha utakuwa wapi sio maiti mimi na wewe?
rais si zaidi ya wananchi uwezo wa kumtisha tunao au unafikiria jeshi linamtii bila kura zetu?
acheni ujinga na mzaha unamuogopa kikwete kwa lipi wakati sisi tunampigia simu na kumtumia email bila kujificha? mbona anakubaliana nasi.
Duu Mshamba wa kijijini ungepunguza ukali wa maneno yako hayo (in bold) post yako ingekuwa nzuri zaidi.