Ole Sosopi hana adabu

Senzige, najua kuwa wewe ni kada mtiifu wa ccm ambao umekulia na kulelewa humo. Natambua pia kuwa unawinda nafasi za uteuzi zilizokupita kando na kama mtoto wa kada hukuyatarajia haya ya kutokubebwa ili kumlipa fadhila mzee wako ambaye ni kada na kiongozi! Lakini, unatoka kwa kuanzia mguu mbaya. Unakaa nyuma ya cdm kutafuta makosa ambayo hutoyaona kwani hata huyo mteuaji maoni mengi anayachukua cdm.
Unajua hakuna kazi ngumu kama kuwatetea polisi?
 
Ndio umeandika takataka gani Sasa hi!!!?
 
Kila nafsi itaonja mauti,ya nini kudharauliana na kutishana sasa?
 
This country!I wish I could be somewhere enjoying!lakn nchi yangu inakeraaaa,if I get guns today..........
 
Umeongea Ukweli lkn HAUJAWA IMPARTIAL
Ukweli ninyi pia ndio ambao mnataka nchi Hii isiwe na Serikali..SABABU NI KWAMBA MNAPINGA KIIIILA KITU AMBACHO NCHI KUPITIA SERIKALI ILIYOWEKWA MADARAKANI KIHALALI INAFANYA.. KWENU HAKUNA JEMA HATA MOJA.. HATA UHURU NA AMANI INAYOKUFANYA UPATE MDA WA KUINGIA JF NA KUJIBU/KUSOMA THREADS KWENU MNAJUA AMANI HII ILISHUSHWA TOKA MBINGUNI.. na wala siyo JUHUDI YA SERIKALI KUPITIA JESHI LA POLISI.. How funny it is !!!! HAMFAHAMU KUWA ILIPIGANIWA !!!

So mawazo yako ni sahihi lkn The vice versa is true

TUJITAFAKARI SOTE KAMA LENGO NI KUTOKA HAPA TULIPOKWAMA


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulipiganiwa na nani wakati Uhuru uliombwa New York!!!? Ninyi ndio mnaodanganya wasiojielewa kuwa mlipata Uhuru kwa kupigana Vita, hivyo kutaka kuulinda kwa gharama yoyote, wakati ninyi ni opportunists tu mliovizia matunda ya uhuru!!!
 
Ulipiganiwa na nani wakati Uhuru uliombwa New York!!!? Ninyi ndio mnaodanganya wasiojielewa kuwa mlipata Uhuru kwa kupigana Vita, hivyo kutaka kuulinda kwa gharama yoyote, wakati ninyi ni opportunists tu mliovizia matunda ya uhuru!!!

Shule hapa ni sifuri.Bahati mbaya sana vijana hawa wanajifanya wanajua kila kitu kakini hawaelewi hata vita vya majimaji na vita alivyopigana Mkwawa vyote vilikuwa na harakati za kujikomboa.Hawa watoto wa bavicha wasameheni tu kwa sababu wao historia yao inaanzia siku ile wanapozaliwa tu na hata yaliyowahusu baba zao mama zao kwao hawana habari nayo.
 
Ile ilikuwa ni resistance wasitawaliwe. Walishindwa wakatawaliwa na Wajerumani na baadaye kuwekwa chini ya uangalizi wa Uingereza, kisha Nyerere akaenda UNO kuomba Uhuru, siyo kupigania. Mwingereza alitoa uhuru kirahisi bila chuki.
Lakini angalia Hawa wakoloni weusi walivyokuwa na roho za korosho. Wako tayari kummiminia mtanzania mwenzao risai 38 kama wanapiga tembo ili mradi watawale bila kukosolewa!!! Kama hiyo haitoshi wakazuia asiombewe hata kwa Muumba wakiamini wanaweza kumhodhi hata Mungu. Aibu kwao na vizalia vyao!!! Wakazuia hata fedha, wasitafakari kuwa Mmiliki wa viumbe vyote alishasema: "Dhahabu ni mali yangu, na fedha ni mali yangu!!!"
Amepona, hawataki azungumze, kama huu si wazimu ni nini hasa!!? Narudia: "Mkataa pema, pabaya panamwita."
 
Mi kwangu sio mtu ni aina flan hivi ya ka paka tena keusiii na usinilazimishe nimuone ni mtu...ni haki yangu ku tafsiri ninachokiamini
 
Mi kwangu sio mtu ni aina flan hivi ya ka paka tena keusiii na usinilazimishe nimuone ni mtu...ni haki yangu ku tafsiri ninachokiamini
 
Mi kwangu sio mtu ni aina flan hivi ya ka paka tena keusiii na usinilazimishe nimuone ni mtu...ni haki yangu ku tafsiri ninachokiamini
Kweli kabisa. Ndio maana mlipowaona ka tumbili mkawa pyuuu pyuuu bila huruma. Hasira ikawaka hadi risasi 38. Kweli kaone ka kapaka kyeusiiiii yaani kale kakichawiii kanakostahili kuuliwa mbaliiiii na mazishi akazike mwenyewe mwenye nacho. Kumbe tunadhani tunaishi na watu lakini ni mashetwani kabisa. Tumefika mahali pa kuwaona watu walio na mfano wa Mungu kuwa ni mapaka meusi!!!!! That is too much man. Sijui ccm hii imetoka wapi. Ile ya Nyerere ilienda naye kaburini nadhani. Kadi yangu inasema ati Binadamu wote ni sawa. Kumbe inatakiwa iseme; Yeyeto anayeipinga ccm ni Tumbili au Paka mweusiii.
Ndugu, nenda taratiiibu. Usidhani utawala huu ni wa milele
 
Huyo akiingia anga zangu namg'oa tu meno ya sebuleni yote anywe uji kwa.urahisi zaidi,na akiwa anaongea maneno yamtoke vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tena hana adabu kabisa na heshima mbovu hii inaonekana ni ya kurithi.Kitoto kidogo kinadiriki kusema eti jeshi zima la polisi lijitathmini.kauli za kishenzi hizi sio za kuachia hivihivi.Kwanba lijitathmini kuanzia kwa amiri jeshi wake? Kauli hizi za kifedhuli ,maringo na kutaka sifa nina imani zina mwisho na huyo Ole bavicha atanyooka tu kama wengine ambao sasa wanataka rais avunje katiba ili wapate huruma yake.
 
Yule ni Mmasai sio Mbantu mlaini laini na mnafiki kama wewe ngumbaru.

Sio kila mtu wa kutishwa akatishika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…