Ole Sendeka: Hali ya CCM kuelekea 2015 iko taabani

Ole Sendeka: Hali ya CCM kuelekea 2015 iko taabani

eti katika pitapita zangu! sendeka ni mtu makini. usimzushie ambayo hajayasema. jk anashaurika na ni msikivu

...hahahaaa teh teheh iih,daah mbavu zangu,nimeamini uzuri wa gari body,injini urembo tu...
 
Chadema mwagieni watu tindikali tu lakini siasa hamziwezi uharifu ndiyo jadi yenu.

Acha kuwafanya watanzania mandondocha; hata mtoto wa darasa la kwanza anawajua wanaomwagia watu tindikali, kuwateka, kuwang'oa kucha, kwa kushirikiana na Polisi kuwapiga watu mabomu na risasi za moto, kuwapiga bila kosa kama mwendawazimu wenu mmoja alivyoamuru mapolisi akiwa Bungeni!
Hawa ndiyo chanzo cha uhalifu wote hapa nchini na si Red Brigade ambayo bado changa.
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1374526888.296789.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1374526888.296789.jpg
    17.8 KB · Views: 142
  • ImageUploadedByJamiiForums1374526920.556901.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1374526920.556901.jpg
    19.8 KB · Views: 139
  • ImageUploadedByJamiiForums1374526937.896196.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1374526937.896196.jpg
    17.8 KB · Views: 135
  • ImageUploadedByJamiiForums1374526961.498282.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1374526961.498282.jpg
    28.5 KB · Views: 131
  • ImageUploadedByJamiiForums1374526978.626013.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1374526978.626013.jpg
    17.7 KB · Views: 121
  • ImageUploadedByJamiiForums1374527017.797935.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1374527017.797935.jpg
    18.2 KB · Views: 127
Ulitaka akutane naye chumbani kama wewe ulivyokuwa unakutana naye kabla hujajifungua?

Ahaaa!!! kumbe kwa sababu na wewe ulishakutana naye kwenye mazingira hayo hayo uliyoandika hapo juu ndio maana unayafahamu?!
 
Wakuu,Nilibahatika kukutana uso kwa uso na Mh. Christopher Ole Sendeka katika pita pita zangu.Baada ya mazungumzo ya hapa na pale nikamchomekea maswali kuhusu siasa ya Tanzania kama ifuatavyo:1. Swali kwa Mh. Ole Sendeka: unaonaje siasa ya sasa na je, ccm hali mliyonayo mnaridhika nayo kweli?- Jibu la Sendeka: hali ya siasa ya Tanzania siyo mbaya, lakini lazima nikiri kuwa hali ya ccm ya sasa haielezeki, kuna mambo mengi yanahitaji kiti cha mwenyekiti.2. Swali kwa Mh. Sendeka kama hali ndiyo hivyo na hakuna hatua inayochukuliwa na kiti cha mwenyekiti, hamuoni kwamba tayari ccm tunaji expose kuelekea 2015?-Jibu la Sendeka: dogo nakuambia haya yote tunayaona, tunayajua, lakini kwasababu MWENYEKITI WETU HASHAURIKI HAAMBILIKI, wacha chochote kitakachotokea kiwe!3. Swali kwa Mh. Sendeka: kwakusema hivyo unamaanisha kuwa nawe umekata tamaa kugombea simanjiro au?-Jibu la Sendeka: unazungumzia 2015, nani anajua tutafika huko dogo? We mwenyewe hiyo picha inaonekana umekoswa koswa na bomu soweto halafu unazungumzia 2015 dogo vipi?4. Swali: Ole Milya unamzungumziaje kuelekea 2015?- Sendeka: Namshauri akasome kwanza siasa bado.5. Swali: Unamaanisha nini kusema Ole Milya akasome? Milya ana degree ya sheria kutoka UDSM, au ubunge unatakiwa kuwa na elimu gani?Jibu la Sendeka: dogo wacha hayo ni matusi asante kwa msaada wako wa jumper wire. Kwaheri.Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Naona umeona maenbe hayaivi juu ya mti sasa umeamu kuyavumbika. Hiyo taarifa yako ni upotoshi mtupu, kwani mwana sias kama huyu anakupa hiyo interview wewe ukiwa kama nani. wacheni kutuharibia foru na ma thread za uzushi
 
cdm = sumu + tindikali +mabomu + mauaji
Mafisadi > CCM + Balaza la mawaziri wa CCM + Ikulu + Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa + First Lady + CC ya CCM + NEC + Watumishi wote wa CCM = Legelege + DHAIFU + M -------
 
ht yule fisi mwenye njaa alisema hivyo hivyo lakini hadi kunakucha mkono wa binadamu haujakatika.

Wenye CCM wenyewe wanajua kinachoendelea lakini wewe wa buku 7 hujui lolote. wewe kazana tu na kazi yako jioni upate buku 7.
 
Wakuu,

Nilibahatika kukutana uso kwa uso na Mh. Christopher Ole Sendeka katika pita pita zangu.

Baada ya mazungumzo ya hapa na pale nikamchomekea maswali kuhusu siasa ya Tanzania kama ifuatavyo:
1. Swali kwa Mh. Ole Sendeka: unaonaje siasa ya sasa na je, ccm hali mliyonayo mnaridhika nayo kweli?
- Jibu la Sendeka: hali ya siasa ya Tanzania siyo mbaya, lakini lazima nikiri kuwa hali ya ccm ya sasa haielezeki, kuna mambo mengi yanahitaji kiti cha mwenyekiti.

2. Swali kwa Mh. Sendeka kama hali ndiyo hivyo na hakuna hatua inayochukuliwa na kiti cha mwenyekiti, hamuoni kwamba tayari ccm tunaji expose kuelekea 2015?
-Jibu la Sendeka: dogo nakuambia haya yote tunayaona, tunayajua, lakini kwasababu MWENYEKITI WETU HASHAURIKI HAAMBILIKI, wacha chochote kitakachotokea kiwe!

3. Swali kwa Mh. Sendeka: kwakusema hivyo unamaanisha kuwa nawe umekata tamaa kugombea simanjiro au?
-Jibu la Sendeka: unazungumzia 2015, nani anajua tutafika huko dogo? We mwenyewe hiyo picha inaonekana umekoswa koswa na bomu soweto halafu unazungumzia 2015 dogo vipi?

4. Swali: Ole Milya unamzungumziaje kuelekea 2015?
- Sendeka: Namshauri akasome kwanza siasa bado.

5. Swali: Unamaanisha nini kusema Ole Milya akasome? Milya ana degree ya sheria kutoka UDSM, au ubunge unatakiwa kuwa na elimu gani?
Jibu la Sendeka: dogo wacha hayo ni matusi asante kwa msaada wako wa jumper wire. Kwaheri.



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Jamaa wanaelekeza nguvu zao nyingi sana kufatilia CDM na kupaka matope chama. Credit goes to CDM so far. Job well done.
Ukiona mpinzani wako anatumia mda mwingi wa ku counter attack your initiatives basi its obvious umemshika pabaya

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Chadema ni kisiki cha mpingo_mrema .
______, chadema yatosha!!!!!!!
 
2. Swali kwa Mh. Sendeka kama hali ndiyo hivyo na hakuna hatua inayochukuliwa na kiti cha mwenyekiti, hamuoni kwamba tayari ccm tunaji expose kuelekea 2015?
-Jibu la Sendeka: dogo nakuambia haya yote tunayaona, tunayajua, lakini kwasababu MWENYEKITI WETU HASHAURIKI HAAMBILIKI, wacha chochote kitakachotokea kiwe!
.



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Nimelipenda jibu na Mheshimiwa Sendeka!!
 
unazungumzia hii cdm ambayo inamwagia watu tindikali, inalisha watu sumu au hii inayopanga mauaji?
Naomba uwe mwangalifu, hawa waliomwagiwa tindikali walikuwa na matatizo gani na CHADEMA? Matatizo yako usiyaunganishe na taasisi zingine. kama unatafuta umaarufu wa kuwadhuru watu maarufu kuna siku ukweli utajulikana. hapo kwenye red " hata Dr Mwakiembe?" CHADEMA walikuwa na chuki gani nae kama sion ninyi wenyewe katika kugombea madaraka.
 
Back
Top Bottom