Nime note point moja - Mwanasiasa jambazi.Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.
Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.
Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.
Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?
Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Kwakimombo wanasema ' He is at large'Toka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.
Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.
Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.
Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?
Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Mkuu naona unapiga za uso, jamaa hana hamu na wewe IdugundeKajaribu kupatia kiberiti uone kama naongopa. Any way nipo nakunywa mabeir na mambuzi kusherehekea siku 60 aa kuondokana na mateso. Karibu tusherehekee mkuu! Sisi ni sherehe tu maana hakuna namna sasa.
Yuko mahali salama kwa usalama wakeToka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.
Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.
Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.
Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?
Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Dooh!Billionea Sabaya!
View attachment 1786713
Halafu Mataga yanaaminishwa eti Mama anamuenzi jiweToka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.
Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.
Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.
Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?
Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Halafu yanakenua menoHalafu Mataga yanaaminishwa eti Mama anamuenzi jiwe
Hajakimbilia Nanja huyo...yuko Arusha Sakina kwa SWAI
Abrahimovic wabongo huyu ,hatari kelele zote kumbe wizi anayemfanyia ubaya nyerere alitoa msaada anunue gari kipindi kigumu kabisa....viongozi nyie sometimes muwe mnajipa muda kujua historia zawatuMoja ya mambo tulitaka kumhoji ni hili la ubilionea wake!
Kwamba iweje miaka 2 iliyopita alikuwa anaishi kwa kunywa bia na nyama za kukopa pale Arusha au kutumia kitambulisho bandia cha TISS na leo ni bilionea?
Alikuwa anafanya biashara gani Hai? Au mihandarati?
Abrahimovic wabongo huyu ,hatari kelele zote kumbe wizi anayemfanyia ubaya nyerere alitoa msaada anunue gari kipindi kigumu kabisa....viongozi nyie sometimes muwe mnajipa muda kujua historia zawatuMoja ya mambo tulitaka kumhoji ni hili la ubilionea wake!
Kwamba iweje miaka 2 iliyopita alikuwa anaishi kwa kunywa bia na nyama za kukopa pale Arusha au kutumia kitambulisho bandia cha TISS na leo ni bilionea?
Alikuwa anafanya biashara gani Hai? Au mihandarati?
Nipo bia ya 18 nimetawanya mbavu za swala mezani sikuoni mkuu. Au huoni kuwa tumelitua zigo la misumari? Emb jongea tufunge siku 60 aisee. Nipo najikumbushia videos za UTUBE kuangalia namna sukuma gang walivyokuwa wanalialia siku ile! Agrrrrrrrrrrrr kula nyama kula bia......mishe Jiwe......mishe Jiwe......kipindi cha misoto niliungua na jua...wew ukanikazia.....Ahaaa, huyu bwege ana nondo gani?
Mkuu nimeku-PM, ukipata taarifa za mahala alipo tushirikishane maana hata na sisi tunahitaji tufanye naye mahojiano mawili matatuToka atenguliwe na itangazwe anachunguzwa DC mwenye tuhuma Ole Sabaya haonekani popote sio nyumbani sio vituo vya polisi.
Sisi watu wa habari tulitaka kufanya naye mahojiano naye kupata habari zake za ukweli tofauti na mahojiano aina ya Clouds media.
Sasa hivi Sabaya ni mtu maarufu sana hasa katika nyanja ya kuwa Mwanasiasa Jambazi hivyo kupata mahojiano naye atashare na wengine uzoefu wake kwenye nyanja hiyo.
Au naye kesha chukuliwa na watu wasio julikana?
Anayefahamu atujulishe tumfate tukamilishe lengo letu
Mkuu kwani Sabaya alikuwa na mkwaruzano na boss mpya wa takukuru ?Huenda amevuka mpaka anakula bata Nairobi, akisikilizia mwenendo wa mama dhidi yake.
Akisikia habari za mtu aliyepewa mamlaka kuongoza TAKUKURU anaweza kujificha zaidi
Jana kweli walifungua nyuzi kibao za kuhoji mpaka kutishia mamlaka ya Mh Mama Rais.Kuna mahali walikuwa wamejifungia Jana kwa ajili ya kuanzisha topic za kujitetea as if wanaccm hawakupendezwa kwa kutumbuliwa kwake.
Ushauri wangu kama mwanaccm mwenzangu awaombe msamaha wote aliowakosea ili aweze kuwa huru ili mtaani aonekane la sivyo dhamira itamtesa sana na nwisho wake hautakuwa mzuri
Ila sisi watetea Israel taifa teule sometimes tuna vituko sana. Uzuri Mungu Yesu ni pendo na usamehe!Yuko kwenye maombi mazito hasa akikumbuka Hamduni leo ndio Boss TakukuruView attachment 1786712
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Sawa kamanda, subiri kusukumiwa pipe.Nipo bia ya 18 nimetawanya mbavu za swala mezani sikuoni mkuu. Au huoni kuwa tumelitua zigo la misumari? Emb jongea tufunge siku 60 aisee. Nipo najikumbushia videos za UTUBE kuangalia namna sukuma gang walivyokuwa wanalialia siku ile! Agrrrrrrrrrrrr kula nyama kula bia......mishe Jiwe......mishe Jiwe......kipindi cha misoto niliungua na jua...wew ukanikazia.....
Anazo nondo tena zile moto anatoa kwenye makaa ya moto na kusimika kwenye kijambio chakoAhaaa, huyu bwege ana nondo gani?