Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Kawaida watu wanakuacha uteseke peke yako kama unapopewa madaraka unavimba kichwa na kumuona kila mtu hana akili.Sabaya amekuwa mbuzi wa kafara kama tunafanya overhaul tuanze na high command wenyewe , watu wasijifanye ni wema Sana kisa wanayo madaraka ...hata hvyo mda utatupa majibu bullshit