MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,413
- 4,889
Ni kweli kabisa CCM ni chama cha majambazi na UVCCM na jeshi na polisi ni vikosi mahususi kwa jina la wasiojulikana. Mwenyekiti wa CCM kwa kofia ya urais ndiye anatoa maekekezo ya ukatili wote.Rubbish
Kwahiyo kama kuna majmbazi elfu moja
Akikamatwa mmoja aachwe?
Hao wengine wewe Una ushahidi wa kupeleka mahakamani wakahukumiwa au
Umesikia?..
Hata kama kuna majmbazi milioni hawajakamatwa...akikamatwa mmoja apewe Haji yake ya kifungo..
Naamini ya 7ya ni mwanzo tu.