OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo kamanda! Nashangaa hata vijana ccm wamefilisika kifikra. Haileti mantiki tuhuma ya mwaka 2008 inaletwa 2012, haya ni maneno ya mkosaji.Halafu wakati huohuo kikundi kngine cha UVCC kimekanusha kuwa si kweli ,taarifa saa 2 ucku startv. Ndiyo ndo M4C, haina kulemba ,tulianza na Mungu,tutamaliza na Mungu. Aibu yetu,aibu yao? Aibu yao.