Olduvai Gorge, Michoro, Nyayo; Sayansi vs Dini

Olduvai Gorge, Michoro, Nyayo; Sayansi vs Dini

Kuamini binadamu alitokana na nyani ni ujuha uliopitiliza. Binafsi siamini ktk nadharia hiyo. Kwa kujibia mitihani sawa lakini ktk uhalisia hapana
 
Huwa mara nyingi najiuliza wale watu wanaoamini ushirikina yaani uchawi ni kundi linalotokana na upande upi??
Wanaoamini kuna Mungu au wasiokubali kwamba kuna Mungu??...
 
Huwa mara nyingi najiuliza wale watu wanaoamini ushirikina yaani uchawi ni kundi linalotokana na upande upi?? Wanaoamini kuna Mungu au wasiokubali kwamba kuna Mungu??...
Wanatoka kote, waweza kuta jamaa ni mkristu na siajabu kama ni mkatoliki anashiriki jumuiya, ila bado yuko kwenye kuamini nguvu za giza. Au Sheikh naye yumo kwenye hayo..
Wasioamini Mungu nao wamo humo, sana tu, ushirikina ni imani kama dini...ni juu yako kuamini au usiamini, ila jiulize, hao washirikina wakiingia lock-up mbona huwa hawajinasaui kwa ndumba?!
Hakuna imani ninayoidharau duniani kama ushirikina au uchawi, ni moja ya mbinu ya kutisha watu, kukosa ajira au utapeli, ujinga na kujipotezea muda...
Topic hapa ni Sayansi Vs Dini, sisi Waafrika siyo siri dini hizi 2 tumeletewa, Sayansi nayo tumeletewa, Sayansi ina majibu zaidi kuliko dini, je baadaye hao Waarabu na Wazungu wakija na mwelekeo mwingine tutaacha kuamini hayo madini yao na Sayansi na kuanza kuamini waliotuletea upya au?!
 
Wanatoka kote, waweza kuta jamaa ni mkristu na siajabu kama ni mkatoliki anashiriki jumuiya, ila bado yuko kwenye kuamini nguvu za giza. Au Sheikh naye yumo kwenye hayo..
Wasioamini Mungu nao wamo humo, sana tu, ushirikina ni imani kama dini...ni juu yako kuamini au usiamini, ila jiulize, hao washirikina wakiingia lock-up mbona huwa hawajinasaui kwa ndumba?!
Hakuna imani ninayoidharau duniani kama ushirikina au uchawi, ni moja ya mbinu ya kutisha watu, kukosa ajira au utapeli, ujinga na kujipotezea muda...
Topic hapa ni Sayansi Vs Dini, sisi Waafrika siyo siri dini hizi 2 tumeletewa, Sayansi nayo tumeletewa, Sayansi ina majibu zaidi kuliko dini, je baadaye hao Waarabu na Wazungu wakija na mwelekeo mwingine tutaacha kuamini hayo madini yao na Sayansi na kuanza kuamini waliotuletea upya au?!
Pia hawajawahi kucompromise na computer data....
 
Back
Top Bottom