Olduvai Gorge, Michoro, Nyayo; Sayansi vs Dini

Olduvai Gorge, Michoro, Nyayo; Sayansi vs Dini

Hadithi za kusadikika. Evolution. Kwenye hivi vitabu hakuna Scientific proof kuwa hawa watu wawili walikuwepo. Ni hadithi za kukufanya ujione wewe tofauti na viumbe wengine. Je, mbona kwenye biblia au kurani hakua panapotaja Dinosaur wakati tuna vizibiti kuwa walikuwepo millions of years kabla ya binadamu. Mamba, chura na samaki wana umri kabla ya binadamu.
Kati ya sayansi na mungu NANI ALIKUWA WA KWANZA KUWEPO?

KATI YA SAYANSI NA BIBLIA NA QURAN KIPI CHA KWANZA KUWEPO DUNIANI?
 
Kati ya sayansi na mungu NANI ALIKUWA WA KWANZA KUWEPO?

KATI YA SAYANSI NA BIBLIA NA QURAN KIPI CHA KWANZA KUWEPO DUNIANI?
Sayansi sababu ina evidence. Haya mambo mengine ni kuandika na kuedit kadiri muda na utashi unaporuhusu.
 
Sayansi sababu ina evidence. Haya mambo mengine ni kuandika na kuedit kadiri muda na utashi unaporuhusu.
Rudi tena shule.kama sayansi na mungu sayansi ni ya kwanza kuwepo duniani.
 
Ingia youtube, tafuta video inayoitwa Adam and Eve. Si kweli kwamba tulitokana na Nyani. Hilo wazo ni la wazungu wanaoamini katika racial hierarchy.
 
Tanzania tuna michoro Iringa na kwa warangi, tuna Olduvai Gorge, yenye kila aina ya vivutio na historia ya kudhihirisha binadamu walikuwa jamii ya nyani au sokwe, ndipo wakaanza kutembea, kupoteza manyoya, kubadilika "features", ubongo kukuwa, kupata maendeleo na kadhalika.

Tatizo wazungu hasa wanasayansi ndio wanasema hivi, wanadai mpaka vithibiti vipo kwamba tulikuwa wanyama na kubadilika kuwa binadamu.

Tanzania nasi twajitahidi kutunza hivi vivutio vya kitalii na kisayansi kama Wamisri...
Upande mwingine tena Mwarabu na Mzungu wanadai Mwenyezi Mungu aliumba dunia siku 7! Wote tumesoma maandiko haya kwenye Agano la Kale na kwamba akaumba binadamu wawili Adam na Eve..

Sisi Watanzania hasa, kipi cha kuamini kati ya haya tulioletewa, kwamba tulikuwa nyani au tuliumbwa?!

Ila yote naona twafaidika nayo, ila kama hili Taifa lina waumini wa Kiislamu na Kikristo kweli kuna haja na kuwa na hivi vivutio?! Hamuoni kama twajichanganya imani zetu au imani tulizoletewa na wenyewe?!

Je wakija tena na lingine hawa Wazungu au Waarabu je tutatupa haya madini yao na vivutio, kuanza kuamini mapya sababu wamesema wao?!

Na kama tunaamini hayo yote basi tukubaliane na zile thread humu kwamba Mzungu na Mwarabu wana akili kuliko sisi, wasemacho ndicho tunachoamini, abudu, ndio maisha yetu!
AU?!
Pole sana mkuu
Hii history ya wanadamu tulikuwa nyani imepotoshwa na imekuwepo kwa muda mrefu sana

Kuna theory mbili zinaelezea uwepo wa mwanadamu hapa dunia, 1 ni historical theory of human evolution 2 ni biblical theory

According to theory of human evolution, binadamu wa kwanza si nyani kama mnavyofikirishwa, "HOMINIDS" ndio mwanadamu wa kwanza hapa dunia then akaanza kupitia hatua mbalimbali za mabadiliko hadi kufikia eructus stage ambayi ndio tupo

Wengi hawajui na hufananisha binadamu wa kale ambaye ni hominid na nyani &sokwes(primate "Gorila & apes")si binadamu, kutokana na ukweli kwamba sie wanadamu tumefanana na nyani kwa asilimia zaidi ya 90 kiakili, DNA, nk
Hivyo nachelea kusema binadamu wa kwanza hakuwa nyani wala sokwe kama mlivyopotoshwa!


Kwa upande wa biblical theory, no doubt kwamba mungu aliumba dunia na kila kitu ndani ya siku saba na hii imejidhihilisha wazi katika vitabu vitakatifu biblia (genesis 1)na quran

NB kila theory iko na weakness zake, hii bilbical theory shida yake kuu ipo katika evidence ambapo bila kuwa na imani ni ngumu kuamini
But as Historian, human evolution theory iko well stimulated concerning that & inauthibitisho wa kutosha kwa kutumia mabaki kama ulivyoelezea hapo, Carbon 14 test nk

Nawasilisha, stand to be corrected
 
Mimi Nina swali moja.
Wakati waafrika walipokuwa manyani
Wazungu wao walikuwa akina nani?watu kamili au na wao walikuwa ni manyani?
na kwanini waseme binadamu Wa kwanza alikuwa nyani.je huyo nyani Wa kwa kwanza ndo Alikuwa Adam?
Wazungu hawakuwepo wako hivo baada ya miaka mingi hata nikihamia kwingine nakuwa mweupe au mwesi kulingana na hali ya hewa ya sehemu husika
 
Sayansi sababu ina evidence. Haya mambo mengine ni kuandika na kuedit kadiri muda na utashi unaporuhusu.
Hapa cha kwanza ni dini, na mwanasayansi ndiye aliboresha dini kuligana na muda unavoenda.Tulikuwa tunaabudu kila mtu kivyake/ kifamilia baadae sayansi ikawepo tukakusanywa na kuingia jumba moja liitwalo kanisa au msikiti kama si sayansi hiyo misikiti na makanisa visingekuwepo, japo tulianzia kwenye mapango/sinagogi.
 
Hadithi za kusadikika. Evolution. Kwenye hivi vitabu hakuna Scientific proof kuwa hawa watu wawili walikuwepo. Ni hadithi za kukufanya ujione wewe tofauti na viumbe wengine. Je, mbona kwenye biblia au kurani hakua panapotaja Dinosaur wakati tuna vizibiti kuwa walikuwepo millions of years kabla ya binadamu. Mamba, chura na samaki wana umri kabla ya binadamu.
Nami nakuunga mkono watu washindwa kuelewa kuwa hizo ni adithi tu na adith zenyewe zimekuja baada ya sayasi kukua.
 
Kati ya sayansi na mungu NANI ALIKUWA WA KWANZA KUWEPO?

KATI YA SAYANSI NA BIBLIA NA QURAN KIPI CHA KWANZA KUWEPO DUNIANI?
Swali lako la kwanza ni gumu kidogo ila la pili hivo vitabu 2 vinaitegemea sayansi ili viwepo mengine ni mbwebwe tu, mara kimeshuka, mara naponyesha viwete .......
 
Mm nkimwangalia yule pombe naanza kuamin theory ya evolution binadam alikua nyani
 
Hapa cha kwanza ni dini, na mwanasayansi ndiye aliboresha dini kuligana na muda unavoenda.Tulikuwa tunaabudu kila mtu kivyake/ kifamilia baadae sayansi ikawepo tukakusanywa na kuingia jumba moja liitwalo kanisa au msikiti kama si sayansi hiyo misikiti na makanisa visingekuwepo, japo tulianzia kwenye mapango/sinagogi.
Mhu huyo mwanasayansi aliyegundua dini nieleze mkuu.
 
Carter badiliko huwezi liona kwa macho ukiwa hai.Mfano babu ya babu ya babu yako hajawahi muona si ajabu alikuwa giant na alikuwa na mataya makubwa kuliko yako lakini wewe hujui maana hujaona
Mkuu kwamba gradually sokwe wanabadilika kuwa binadamu hadi sasa! Na bado binadamu tunazaliana!
 
Hadithi za kusadikika. Evolution. Kwenye hivi vitabu hakuna Scientific proof kuwa hawa watu wawili walikuwepo. Ni hadithi za kukufanya ujione wewe tofauti na viumbe wengine. Je, mbona kwenye biblia au kurani hakua panapotaja Dinosaur wakati tuna vizibiti kuwa walikuwepo millions of years kabla ya binadamu. Mamba, chura na samaki wana umri kabla ya binadamu.
Imefika wakati Watanzania hasa tuhoji haya yote, wameleta vitabu, wakasema tuamini, tukaamini mpaka tumeigeuza dini kuwa biashara kama wao, wakaja na hizi theories, zenye vithibiti kwa kufanya carbon date, tunaamini!
Wanatuchezea sana hawa wenzetu, wanapiga mziki nasi lazima tuucheza! Mpaka lini?!
 
Swali lako la kwanza ni gumu kidogo ila la pili hivo vitabu 2 vinaitegemea sayansi ili viwepo mengine ni mbwebwe tu, mara kimeshuka, mara naponyesha viwete .......
Kabisa, na tatizo letu ndilo hilo, dini ni ya kurithishwa, hutaki utake lazima uamini, ukianza kuuliza haya yote watakwambia amini shetani! Ila ni maswali ya kujiuliza. Pia nakubali kuna mambo fulani maishani yako yanaweza tokea, ya kukusaidia au kukunyoosha maishani, yanatokea kimaajabu au sababu ya ujinga wako, au labda ulikuwa hujuwi wala kutegemea, je kuna higher power sehemu inayofanya haya mambo?! Tulivyoumbwa yaonekana lazima tuamini kitu..Ni shida kwa kweli..
Ila Sayansi tena imedhihirisha kila kitu kina jibu lake..
 
Mbona nyani wa sasa hivi hawabadiliki kuwa binadamu? Evolution imeishia wapi na kwa nini?
Hakuna kitu kama hicho binadamu alizaliwa kama binadamu, kuku alizaliwa kama kuku hakuna nini wala nn, mbwa akazaliwa kama mbwa unavomuona leo hakuna cha mbwea au mbwa mwitu, swala kama swala na mbuzi kama mbuzi kila kiumbe kilikuja na mbadala wake au rafiki yake ila viumbe vingine tumebadirka kutokana na kubadirka kwa mazingira na chakula tunachukula, jiulize kwa sasa binadam wa kuishi miaka 200 unaweza kumpata leo ? kutoka miaka 200 au 500 hadi kufika 100 au 45 sio kwamba ilishuka ghafla bin vuuu !!! ni mlolongo mrefu wa maisha ukihusisha vyakula zaidi ukichanganya na urith wa kizazi kimoja hadi kingine.
 
Sayansi sababu ina evidence. Haya mambo mengine ni kuandika na kuedit kadiri muda na utashi unaporuhusu.
Sawa kabisa, leo utasikia ushoga sawa tu (Anglican), kwingine mashoga wanauliwa kinyama, leo utasikia hatukuziki kama hauko kwenye jumuiya yetu, kule kwenye vitabu wanadai Yesu anakaribisha hata kondoo waliopotea, leo utasikia ukijilipuwa na mabomu na kuuwa makafir utakutana minato 70! (Kama vile dushe litakuwepo bado)! Huku kwenye Koran tukufu wasomi wanadai hakuna kitu kama hicho, basi shaghalabaghala mkuu!
Talk about "Bendera fata upepo" eehh?!
 
Sawa kabisa, leo utasikia ushoga sawa tu (Anglican), kwingine mashoga wanauliwa kinyama, leo utasikia hatukuziki kama hauko kwenye jumuiya yetu, kule kwenye vitabu wanadai Yesu anakaribisha hata kondoo waliopotea, leo utasikia ukijilipuwa na mabomu na kuuwa makafir utakutana minato 70! (Kama vile dushe litakuwepo bado)! Huku kwenye Koran tukufu wasomi wanadai hakuna kitu kama hicho, basi shaghalabaghala mkuu!
Talk about "Bendera fata upepo" eehh?!
Imagine hizi dini mbili kubwa ukristu na uislam ulikuja baada ya dini zetu za mababu ambazo vijijini wengine hata wakijifanya wanaabudu dini za kuja, wakipata mishike kibao wanarudi kule kwenye ujima wetu. Buddhism imeanzishwa na Buddha more than 600 BC, Hinduism ndiyo nzee kuliko hata hiyo na watu bado wanaabudu miungu yao na wanaishi na kumeremeta sana tu. At the moment Westerners wameturn kwenye Buddhism na ni wengi ingawa hawatakwambia ila they practice it through internet, meditation na kusafiri kwenda ambapo wanaweza kujifunza hii movement. Ni Movement ambayo haiamini kama kuna Mungu ila ukifa inategemea ulikuwa na mienendo gani. Incarnation inakuja pale kama tunavyoambiwa kuna maisha mbinguni kwa dini zetu hizi mbili.
 
Imagine hizi dini mbili kubwa ukristu na uislam ulikuja baada ya dini zetu za mababu ambazo vijijini wengine hata wakijifanya wanaabudu dini za kuja, wakipata mishike kibao wanarudi kule kwenye ujima wetu. Buddhism imeanzishwa na Buddha more than 600 BC, Hinduism ndiyo nzee kuliko hata hiyo na watu bado wanaabudu miungu yao na wanaishi na kumeremeta sana tu. At the moment Westerners wameturn kwenye Buddhism na ni wengi ingawa hawatakwambia ila they practice it through internet, meditation na kusafiri kwenda ambapo wanaweza kujifunza hii movement. Ni Movement ambayo haiamini kama kuna Mungu ila ukifa inategemea ulikuwa na mienendo gani. Incarnation inakuja pale kama tunavyoambiwa kuna maisha mbinguni kwa dini zetu hizi mbili.
Another "critical thinking", thank you...
Kwa kifupi, kila unapotafakari na kutafuta ukweli, majibu ya kwanini, dini tuliyothirishwa na wazee yazidi kuonekana imani isiyo na majibu, vitabu vya dini vyazidi kuonekana kama story za abunuwasi, kisayansi kila kitu kina majibu, na kama majibu yake hayapatikani yamaanisha mwisho wa akili yako kufikiria ndio hapo, ila mwenzako anayo majibu! Its a fantastic world kama ukijaribu kutafuta majibu ya maisha yako..
 
Back
Top Bottom