Old Bongo Flava

 

Attachments

Dah,
Ahsante Sana Mkuu,
Unazo zip zingine?
Labda uandike ngoma nyingine unazozihitaji nione kama nitakua nazo.
Mfano list yako ya juu ngoma ambazo sijaziweka ujue sina
 
Ile thread nimeitendea haki sana. Ipo humu. Title yake inanitoka.

Sana mzee, mmenifanya nasikiliza wimbo ninaotaka kutoka kwenye Library nimeipa jina la JF kabisa
 
Ebana eee daaaahh
noma sana wazee ngoma Ni za moto sanaa midundo hatareeee
muda Ni mchache sana mambo Ni mengi balaaaaa.

Naomba ngoma za Pig black produced by P funk majani.

BOOOOOOOOOOM.
 
Kuna wimbo wa bongofleva naomba mnisaidie kaimba nani, baadhi ya mistari inaimbwa hivi "NIKIKUMBUKA MAPISHI YAKE KISAMVU CHA NAZI, HATA KAMA KILALE KICHACHE..." nautafuta sana
 
Mi Naomba wimbo Wa SIKUTAKA Wa unique sisters og version sio ule waloimba na dudu baya
 
Aliweka ngoma ya nikizipata ya eluka moja kwa moja peponi ...pamoja na aliyeanzisha huu uzi big up Sana ..ngoja nami na mbili 3 nakuja kumwaga sooon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…