ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
hizi habari mnazipata wapi?
huyu nae anatafuta relief tu hana uhakika yericko kule twitter alimuuliza okwi kama anajua jamaa kashangaa ila akasema asubiri apigiwe simu na kaburu kuwa aende moja kwa moja azam hata muuzwaji hajui ngoja tusikie shafii atasemaje..