Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,469
- 7,260
Umenena, TP Mazembe tu imemshinda..ataishia kama Lunyamila.hana kwango cha ulaya yule bwana....mbona karufishwa baada ya trials.
Umenena, TP Mazembe tu imemshinda..ataishia kama Lunyamila.hana kwango cha ulaya yule bwana....mbona karufishwa baada ya trials.
simba ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo hata bila okwi..umesikia matusi ya ngasa jana..hata hivyo Okwi bado ana mkataba na simba wa miezi zaidi ya 7..
Umenena, TP Mazembe tu imemshinda..ataishia kama Lunyamila.
soma post zangu mkuu mimi sina kwi kwi na Azam fc mbaya wangu ni yanga mfano nikilikosa kombe halfu azam akachukua halafu nishike nafasi ya pili nitacheka sana..hata hivyo habari hizi chanzo chake ni kwenye baa ya gongo na chimpumu huko mara usiziamini.
Hah hah hah hah hah! Simba kwishney!!! Wapi Crashwise!
taarifa zinaweza kuwa kweli maana na shaffih dauda amesema kuwa anahamia kwa jirani zetu kupitia ukurasa wake wa twitter http://www.twitter.com/shaffihdauda1
soma post zangu mkuu mimi sina kwi kwi na Azam fc mbaya wangu ni yanga mfano nikilikosa kombe halfu azam akachukua halafu nishike nafasi ya pili nitacheka sana..hata hivyo habari hizi chanzo chake ni kwenye baa ya gongo na chimpumu huko mara usiziamini.
Kwa kusema hivo unaonyesha ww ni mpenzi wa Yanga. Lkn Bila Simba sijui Yanga itakuwaje na bila Yanga sijui Simba itakuwaje kwa siasa za mpira wa tzKama ni hivyo,Simba Kwishineeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!
kama nimeshindwa kumwamini mwana JF mwenzangu atakuwa shaffii yaani hapo mpaka nisikie kiongozi wa simba au okwi mwenyewe au nione mkataba aliouvunja na alioingia..
Kwa kusema hivo unaonyesha ww ni mpenzi wa Yanga. Lkn Bila Simba sijui Yanga itakuwaje na bila Yanga sijui Simba itakuwaje kwa siasa za mpira wa tz
Alikuwepo Mohamed Mwameja akapita sasa tunaye Juma Kaseja. Vipaji haviishi. Mwacheni aende, madogo kina EDO Christopher, Ramadhani Singano watakuza viwango vyao. After all ni vyema kuwapa nafasi wachezaji wetu wazawa kwenye timu zetu ili tuweze kujenga timu nzuri ya Taifa.Simba wananiboa. Wanarusu vp staa km huyo kuondoka kirahisi?
Kama ni hivyo,Simba Kwishineeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!
Yeriko habari hii inaukweli?
hayo ni mambo ya mshiko; Azam kama wamefika bei nzuri hawanabudi kumchukua; Simba ina hazina ya Wachezaji mwache Okwi apate changamoto mpya.Simba wananiboa. Wanarusu vp staa km huyo kuondoka kirahisi?
Jamaa ni levo nyingine. Hakuna mchezaji wa VPL mwenye kiwango kama chake.
Hata kwa Nonda mlichonga ngenga hivyo hivyo, mwishowe mkabaki kujisifu tu, eti alicheza Yanga.
Msije mkajisifia tu baadaye, eti alicheza Tanzania.
Aende sasa, huko Azam ...ndiyo ulaya?