Okwi aibwaga Yanga

Okwi aibwaga Yanga

Huyo manji anatamba kwa sababu ya pesa tu,ila kichwani mbmbumbu. Ila sishangai Yanga sijawahi ona mtu makini
 
Yanga walikurupuka kwa okwi,mchezo waliotaka kufanya ulikua mzuri kumtema mwsho wa dirisha bahati mbaya likasogezwa mbele,good for simba.
Lile domo chafu la kihindi koko litaweka wapi sura yake.....
 
Huyo manji anatamba kwa sababu ya pesa tu,ila kichwani mbmbumbu. Ila sishangai Yanga sijawahi ona mtu makini
Atoke wapi, labda Mzee Akilimali kidogo anajitahidi ingawa hana hata Level ya QT. Mzee aliwahi kumkataa Yusuph Manji kwamba anaipekeleka timu kidikteta, akasema iko siku atakuja ipeleka timu kubaya. Kila mtu anamuogopa akiamua lake hakuna mktu wa kumshauri wala kumpinga.... Matokeo yake Manji alimpinga Akilimali na kumfunga mdomo asiongee chochote kuhusu Yanga na mzee wa watu amejipumzikia anaangalia hatima yao tu.

Haya sasa tunaanza kuyaona, mikataba ya kukurupuka kumchukua Okwi ili kuikomoa Simba SC matokeo yake tunaanza kuyaona.

Ngoja wachapwe na Simba SC mabao 6-0 mwaka huu ndiyo watachapana bakora vizuri......
 
Safi sana! Poleni watani!
Mchezaji hamumtaki, rufaa ya nini sasa??

na kwambia kwa msimu huu lazima Manji ang'atuke: OKWI tulia ufanye kazi yako, walikutamani kwa kutaka kuikomoa Simba, imewatokea puani .
Mtoto karudi nyumbani jirani anatoka mapovu. Wajiandae kuja kwa wingi kuzomea sana mwaka huu wakati Simba SC itakapokuwa unatoa dozi kubwa kubwa kama ya GorMahia.....
 
Emmanuel Okwi leo ameruhusiwa kuchezea Simba bila ya kulipa chochote baada ya kikao cha kamati ya sheria na haki za wachezaji kubaini kwamba hakua na mkataba na Yanga tokea January 2014.
Wasema hovyo wa Yanga leo wako wapi? Au bado wanaugulia kwa kilio cha kwikwi. Hahahhaaaaaaaaaaaaa......na mwaka huu Maximo kaja na nuksi ya kwao wajiandae vipigo kama vile walivyopata Brazil Kombe la Dunia
 
Kwa Akili Yako Ulijua Asingeruhusiwa Kucheza Simba? Hakuna Watu MAFIA Nchi Hii Kama Friends Of Simba Na Wanajua Wanafanya Nini. TFF Waliogopa Baada Ya Evodius Mtawala Kutoa Siri Kwa Okwi Na Kumkabidhi Okwi Barua Yake Ya Kusitishiwa Mkataba Na Yanga Ambayo Hata Hivyo Ilifichwa Na Viongozi Wa TFF Na Najua Wengi Humu Tunamjua Kwani Huwa Anajitokeza Kama KAKAKUONA Vile Na Lengo Lake Na Baadhi Ya Viongozi Wenye Mahaba Na Yanga Waliomo TFF Walitaka Kuikalia Hiyo Barua Hadi Muda Wa Usajili Upite Kisha Ndipo Wajifanye Wanaitoa Kwa Kumpa Okwi Jambo Ambalo Kisheria Lingemfunga na Kumzuia Okwi Asiweze Kuihama Yanga Na Kuendelea Kukipiga Na Wana Jangwani. Mwanasheria EM Aliamua Kujitoa Kafara Na Kuonyesha Mapenzi Yake Ya Dhati Kwa Wekundu Wa Msimbazi Simba Sports Club Kwa Kutoboa Siri Hiyo Kubwa Kwa Viongozi Wa Simba Na Hadi Akawakabidhi Documents Zote Husika Huku Akiwashauri Nini Cha Kufanya Kisha Ndipo Huyu Kiongozi Wa TFF Aliposhikwa Na Hasira Na Kuamua Kumuondoa TFF EM ILA Akasahau Kuwa Bwana EM Hakutoka Tu Na Siri Za Okwi Na Yanga Bali Ana Siri Nyingine Nzito Za Uozo Wa TFF Na Laiti Leo Okwi Asingeidhinishwa Kukipiga Msimbazi EM Angemwaga Pumba Kwenye Kuku Wengi. Na Kwa Habari Nilizozinyaka Kutoka Kwa Credible Source Ndani Ya TFF Ni Kwamba TIMU YA JAMHURI KIHWELO YA MWADUI IMEAMRIWA KUPANDISHWA HADI LIGI KUU YA VODACOM NA SASA VIONGOZI WA TFF WANAHAHA JINSI YA KULIWEKA HILO SAWA KWANI WAKISEMA WAIPANDISHE MWADUI FC BASI TIMU KAMA KANEMBWA na AFRICAN LYON NAZO ZITALALAMIKA KWANI HATA NA ZENYEWE ZILIKUMBWA na UONEVYO WA AINA HIYO HIYO Wakati Rais ALIYEMALIZA MUDA WAKE LCT! TFF Wanatamani Sasa Ardhi Ipasuke ILI Wafiche AIBU na KASHFA Hii Kwani Kuna Mengine Ya Aibu Zaidi Na Muda Si Mrefu YATAFUMUKA.

cc: Jamal Malinzi
 
Tff walipoona okwi anawaonggelea kizunggu,nao hawajui kizungu,wakaona bora yesheeee...wakam favour!?!!
Hahahahahahaaaaaaaaaaa...hiyo ndiyo faida ya kuingiza wastaafu wengi wa Jeshi la Polisi kwenye Kamati za TFF. Wakisikia kizungu tu wanajifanya wako bize na WHATSUP za simu zao hata kama ni Nokia Tochi.
Teteheteheteheteheteheteeeeee....
 
Ni vyema tu ikaeleweka kwamba maamuzi haya siyo ya mwisho hata hapahapa Tz. Kuna mamlaka zaidi za maamuzi juu ya swala hili. Binafsi ninasubiri litavyoishia, sio lilivyoanzia.

Munataka kukata rufaa tena? Hivi hizo hela kwa nini musipeleke kuke Dogo dogo centre kwa wahitaji watoto yatima? Munashupalia kitu ambacho hamukihitaji ili iweje?
Kwa nini hela hizo musiongeze marupurupu ya wachezaji wenu?
 
Chezea friends of simba....wanafanya Mambo ya uhakika....bravo Aveva na your team

Na bado kilio zaidi kitaendelea Jangwani, mengi yanakuja wadau kaeni mkao wa kula.....
 
Ni vyema tu ikaeleweka kwamba maamuzi haya siyo ya mwisho hata hapahapa Tz. Kuna mamlaka zaidi za maamuzi juu ya swala hili. Binafsi ninasubiri litavyoishia, sio lilivyoanzia.
Tokea kuumbwa kwa ulimwengu mpaka sasa Fisi anaendelea kusubiri mkono wa binadamu uanguke...
 
Mkuu nadhani hata huko CAF, FIFA au CAS, Okwi ataibuka kidedea. Ukiniuliza kwanini? Sina Jibu, ila kwa sasa lets have a Cheers.
Mkuu ngoja namimi nichukue glass ya Mvinyo maana ya kwanza imeshavunjika kwa cheers ya wadau leo....
 
Back
Top Bottom