😅😅🤫Hahaa, hiyo AI yako haijui kuchora. Chawa hawako hivyo, na hiyo sprayer badala ya kumnyunyizia mdudu inanyunyizia mahali pengine.
Angalia huu ujumbeNaona umeamka na vicheko. Karibu uchangie mada
Kwa mm nishathibitisha ni wa kweli kwa kipindi kirefu namfuatiliagaHuo ujumbe utunze kwanza mpaka Januari 2026, tutakuwa tumeishajua mchele na pumba
![]()
Mungu akitujalia uzima, mwakani tutawajua dhahiri manabii wa uongo!
Ndugu wapendwa, kama ilivyoandikwa katika Mt 24:11, hizi ni siku za mwisho; manabii wengi wa uongo wametokea na kuanza kuwadanganya wengi. Fuatilia Youtube na mitandao mingine utaona video nyingi za manabii wanaoeleza kwamba wameambiwa na Mungu waseme waliyoyasema. Miongoni mwa manabii hao ni...www.jamiiforums.com
CreativityMarko 12:17
"...Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na yaliyo ya Mungu mpeni Mungu."
Mimi hata kabla ya Oktoba, yaliyo ya Mungu ninayatiki ✅
- Yesu Kristo ni Mwokozi wa ulimwengu ✅
- Damu ya Yesu inasafisha dhambi zote ✅
- Wokovu haupatikani kwa matendo, bali kwa neema ✅
- Biblia ni Neno la Mungu, ni tamu kuliko asali ✅
- Msalaba ni msingi wa upatanisho kati yetu na Mungu ✅
- Roho Mtakatifu ni Msaidizi na Mwalimu wetu ✅
- Kanisa ni mwili wa Kristo duniani ✅
- Jina la Yesu lina nguvu ya kufukuza mapepo ✅
- Yesu atakuja tena kwa utukufu ✅
- Wanaomwamini Yesu wataurithi uzima wa milele ✅
Sina kazi kaka ,siwezi kataa kazi maana mimi mtu wa kazi.
JingaMarko 12:17
"...Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na yaliyo ya Mungu mpeni Mungu."
Mimi hata kabla ya Oktoba, yaliyo ya Mungu ninayatiki ✅
- Yesu Kristo ni Mwokozi wa ulimwengu ✅
- Damu ya Yesu inasafisha dhambi zote ✅
- Wokovu haupatikani kwa matendo, bali kwa neema ✅
- Biblia ni Neno la Mungu, ni tamu kuliko asali ✅
- Msalaba ni msingi wa upatanisho kati yetu na Mungu ✅
- Roho Mtakatifu ni Msaidizi na Mwalimu wetu ✅
- Kanisa ni mwili wa Kristo duniani ✅
- Jina la Yesu lina nguvu ya kufukuza mapepo ✅
- Yesu atakuja tena kwa utukufu ✅
- Wanaomwamini Yesu wataurithi uzima wa milele ✅
ikiwemo na mimi!Kwa waliokua wanakupenda kwasababu ya neno la Mungu Leo umewafukuza rasmi Kwa kuonyesha upande wako