Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 579
- 887
Tatizo wewe unaenda kuweka mafuta kisha unawafungulia tanki unabaki umeketi na kustarehe kwenye gari kwanini wasikulize? Mimi nikfiungua kabla sijamwambia weka mafuta ya bei fulani ninakuwa nimeshatelemka. Naangalia meter reading hadi mwisho. Chezea wajaza mafuta wewe, NI LAZIMA UKATWE KIDZAINI FULANI.
Ungerudi ndugu. Ni kweli pale ni wezi mnoooo.
Wameshanifanyia mara mbili.
Mara ya kwanza nilipotezea kama wewe.
Mara ya pili nikaenda nikawaambia kabisa wasinifanyie usanii, wakaleta sanaa. Nilifika hadi baracuda....niligeuza mbona na wanafanyaga kusudi
CC 2000 si gari dogo kama unavyosema, pia 20000 ulipata chini ya lita kumi, so taa ya warning kuwaka ilikuwa sahihi
Kaka kabla sijaweka taa ilikuwa haijawaka ila mafuta yalikuwa down nimeweka hata kama ni lita tisa nitembee chini ya Km 1 kweli taa iwake sii wizi huu?Mafuta ya elfu 20 kaka?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Tatizo wewe unaenda kuweka mafuta kisha unawafungulia tanki unabaki umeketi na kustarehe kwenye gari kwanini wasikulize? Mimi nikfiungua kabla sijamwambia weka mafuta ya bei fulani ninakuwa nimeshatelemka. Naangalia meter reading hadi mwisho. Chezea wajaza mafuta wewe, NI LAZIMA UKATWE KIDZAINI FULANI.
next time nikipita huko najimiminia wese mwenyeeewe
Ndo maana mimi huwa huwa siweki moja kwa moja kwenye tanki,natembea na kidumu cha LITA TANO,yanapitia humo kwanza ndo namiminia garini.haha haaaaa
WanaJF nashangaa jana nimeweka mafuta ya Tsh elfu ishirini kwenye hii sheli sijui walinijazia hewa,gari ndogo ya CC 2000 sijatembea hata Km 1 taa inawaka ikabidi niingie sheli tena kuongeza mafuta,naomba EWURA na Mamlaka ya Vipimo wafanye kazi yao jamani.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
NAni kwakuambia mita yao huwa haisomi!! Pole !!
Tatizo wewe unaenda kuweka mafuta kisha unawafungulia tanki unabaki umeketi na kustarehe kwenye gari kwanini wasikulize? Mimi nikfiungua kabla sijamwambia weka mafuta ya bei fulani ninakuwa nimeshatelemka. Naangalia meter reading hadi mwisho. Chezea wajaza mafuta wewe, NI LAZIMA UKATWE KIDZAINI FULANI.
Nikweli kabisa ewula inatakiwa wafuatilie
Hizi shell za hapa dar zote mtindo huo si kwa oil com pekeyake mtindo huo pia unafanywa na shell ya temeke mtongani gapco ukiweka mafuta ya elfu ishilini kama unakwenda mbagala haufiki. Mchezo huo huwa unakuwa hivi mfano mwenye piki piki akifika kuweka mafuta kama ya sh.3000 huwa ile pump huwa haifutwi kwahiyo unapo sogeza gari lako wakuwekee mafuta wanaendelea na ileile bili inayo soma sh.3000 sasa kama umeweka mafuta ya sh.10,000 ujue unapata mafuta ya sh.7000/:
Tembelea VICTORIA PETROL STATIONS....hutajuta!
Ni "petrol station" na si "sheli"