Nchini kwao hapo Kimanzichana hakuna umeme ndio kamaanisha hivyoNchi nzima hakuna umeme,mi nipo india nini, maana kuna umeme huku
Hiyo ni Luku yako imeisha lipia chapuMara nyingi mambo haya hufanywa ktk mazingira ya Giza na Kiza kinene. Kukatwa kwa umeme majira ya usiku nchi nzima kwa masaa 6 siyo Jambo la kawaida. Huwenda ndiyo mpqngou nakamilika.
Eeh Mungu! Na iwe hivyo.
Wanafuatilia!!.. nyuzi kibao za arv(matumaini)Chadema lazima mchanganyikiwe safari hii 😂
Ahsante mkuu kwa hili pandiko.Nunua LUKU kenge wewe.
Kila muda wanaanzisha uzi kujifariji 😂Wanafuatilia!!.. nyuzi kibao za arv(matumaini)
Ndio huko huko IndiaNchi nzima hakuna umeme,mi nipo india nini, maana kuna umeme huku