Ah! hii kali. Yaani Presda mzima anapokea msaada wa milioni 51. Aibu. Hana mambo muhimu ya kufanya.
So what? Wewe ndio mbumbumbu wa mambo. Nadhani umewekwa kwenye sehemu nyeti bila utaratibu na bila kuelewa utawala wa nchi unakwendaje. Kwa machache uliyojifunza ndani ya muda mfupi unaona ndio umeishajua kila kitu!ha ha ha ha!
kuna vitu vingi sana huvielewi rafiki.lakini sitapenda kukuelewesha anyway.hapo hakiangaliwi YEBO YEBO!kwa taarifa yako hapo inaangaliwa serikali ya china
My Take:
Misaada mingine tunayopokea au kumuacha Rais apokee kwa niaba yetu ni ya kiudhalilishaji wa jumla! Yaani hawa Wachina wameshindwa kupeleka misaada yao Red Cross au kwa taasisi fulani moja kwamoja hadi wapeleke Ikulu?