Ogopeni kusoma kombi dhaifu

Ivi Bado haya mambo ya Combination yapo !?
Story za Zamani saana hizi 1999, mda nasoma.
Sikuizi naona Style iliyoko ni Chuo Direct after form four.
 

watakaaa tu wanaona sifa mtaani kuona wanasona kombination naarufu eee
 
Hata advance yenyewe hujaingia hushaanza kudharau comb.haya tutakuona washaandikaga wengi kama wewe!

eti anasema kwa hiki kipindi kigumu ......wskati yy ni mtoto wa BRN vilaza maarufu
 
Mkuu hakuna combination dhaifu,wote wakisoma pcm unadhani itakuaje,jaribu kufikiri kwa kina kabla ya kuja na uzi hapa,this is the home of great thinkers
 
Watoto bwana utawajua tu
 

amekariri hajajua maana ya specialization na mtu anamaster sehemu yake mfano anaesoma hizo mnaita kombi ngumu mwambie aje asome hizo combi anazoita nyepesi ataambulia zero. na hamna anayeweza kutoa muafaka juu ya ugumu wa combi mbili tofauti cuz hawez sina pair ya pili ya kufanyia comparison
 

Dogo naona kabisa hata huko kwenye faculty utakuwa ukiwasikia wenzio tu wanakusimulia, maana hapa hoja yako ni utata mtupu, maprofesa na ma Dr.hawata kuwa na kupoteza kuhangaika na mtu asijua kupanga hoja zake:

Hebu tupe uhusianao wa combi hizo na udhaifu wa elimu,ajira,chuo,faculty. Au ulikuwa unamaanisha ajira zitkuwa shida? hata hivyo masomo hayo haya sababishi ukosefu wa ajira,labda utupe takwimu.
Vinginevyo ulichokiandika hukijui.
 
Naona umekuwa mratibu wa Elimu sasa haya ni vyema kabisa ungeaandaa list kabisa inayoonesha strong combinations and weak combinations

By the way hata wewe ufikiri wako ni dhaifu
 
acha uzuzu wewe...comb ngumu ni zipi? Na ugumu unaupimaje?

KIMSINGI DOGO KACHEMKA,COZ HATA KAMA ALIKUWA ANAWAHIMIZA WENZIE WASOME KOMBI ZA SAYANSI ALISHINDWA KUELEWA KUNA FANI NYINGINE ZINAHITAJI WATU WALIOSOMEA MASOMO YA SANAA KAMA VILE SOCIOLOGY,PUBLIC ADMINISTRATION,LAW NK,VILE VILE WATAALAMU WA LUGHA HUWEZI KUWAPATA KWA KUSOMA CHEMISTRY AU MATHS,OR BIOLOGY. Hata hiyo sayansi ikiwa watu wote wakaamu kusoma ajira itakuwa tatizo vilevile.
Pia dogo atambue kuwa fursa pia ni muhimu katika kuchagua combination,mwanafunzi kasoma shule ina vyumba vitatu tu,hata maabara haipo,atawezaje kusoma sayansi?
 
KIMSINGI DOGO KACHEMKA,COZ HATA KAMA ALIKUWA ANAWAHIMIZA WENZIE WASOME KOMBI ZA SAYANSI ALISHINDWA KUELEWA KUNA FANI NYINGINE ZINAHITAJI WATU WALIOSOMEA MASOMO YA SANAA KAMA VILE SOCIOLOGY,PUBLIC ADMINISTRATION,LAW NK,VILE VILE WATAALAMU WA LUGHA HUWEZI KUWAPATA KWA KUSOMA CHEMISTRY AU MATHS,OR BIOLOGY. Hata hiyo sayansi ikiwa watu wote wakaamu kusoma ajira itakuwa tatizo vilevile.
Pia dogo atambue kuwa fursa pia ni muhimu katika kuchagua combination,mwanafunzi kasoma shule ina vyumba vitatu tu,hata maabara haipo,atawezaje kusoma sayansi?
 
 
Kwa utafiti wa haraka, waliosoma H something wapo wengi sana humu. Shardcole watakumeza hawa.
 

well said.
 
Mpiga msuli upo wapii aseee?? Naona product yako huku ishaaanza sumbua et.......


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨uuuu
 
Sasa huyo asome PCB ili awe doctar?kwa hali hii nitaendelea kutumia mitishamba huko hospital mtazidi kutuua.
 
kilaza wa kesho hicho u talk such stupidity in front of great thinker? Foolish
 
kuna mtu aliwahi sema shule za siku hizi hakuna debate kitu ambacho kimefanya vijana wa siku hizi wawe na uwezo mdogo sana wa kujenga hoja. ndio ninachokiona hapa.
 

comb ngumu ni uchangudoa kuliwa na midume zaidi ya kumi kwa siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…