Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
wajinga nliokuwa nasoma nao wakinicheka why nimesoma HGL kwa sasa wako mitaani
form 6 walichemka vibaya sana wakijisifu na PCM,PGM zao
kwa sasa nina vidigree vyangu vitatu yaani undergraduate na post 2 sio phd
life iko super kiasi chake siombi kwa mtu wala sijafisadi cha mtu
kwa akili zenu za kitoto mnaandika upuuzi humu kakojoeni mlale hamna adabu kuandika ujinga kama huu.
soma kitu unachoweza na sio kufuata mkumbo..
Hata advance yenyewe hujaingia hushaanza kudharau comb.haya tutakuona washaandikaga wengi kama wewe!
Watoto bwana utawajua tuJamiiForums,
Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.
Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.
Ahsanteni....
Combi ngumu ni zipi na rahisi ni zipi? Ninachojua, malengo ya mtu katika maisha ndio huamua mtu asome combi ipi! combi za udaktari ni tofauti na za uhasibu ama uanasheria! Pia, hakuna mtu aliyewahi kusoma combi 'zote' kisha akaja na upembuzi kuwa PCM ni rahisi kuliko ECA, CBG au KLF.
Grow up kijana.
JamiiForums,
Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.
Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.
Ahsanteni....
acha uzuzu wewe...comb ngumu ni zipi? Na ugumu unaupimaje?
JamiiForums,
Hii ni special kwa vijana wenzangu ambao tumemaliza form 4 katika kipind hiki kigumu cha Mulugo 2012.
Ni vyema tujue kuwa comb dhaifu huzaa faculty dhaifu, faculty dhaifu huzaa chuo dhaifu, chuo dhaifu huzaa taaluma dhaifu, taaluma dhaifu huzaa ajira/kazi dhaifu na mwisho wa siku ajira/kazi huzaa maisha dhaifu.
Ahsanteni....[/QUOTunajua nini wewe ebu nyamazs tena kaa kimya
wajinga nliokuwa nasoma nao wakinicheka why nimesoma HGL kwa sasa wako mitaani
form 6 walichemka vibaya sana wakijisifu na PCM,PGM zao
kwa sasa nina vidigree vyangu vitatu yaani undergraduate na post 2 sio phd
life iko super kiasi chake siombi kwa mtu wala sijafisadi cha mtu
kwa akili zenu za kitoto mnaandika upuuzi humu kakojoeni mlale hamna adabu kuandika ujinga kama huu.
soma kitu unachoweza na sio kufuata mkumbo..
Combi ngumu ni zipi na rahisi ni zipi? Ninachojua, malengo ya mtu katika maisha ndio huamua mtu asome combi ipi! combi za udaktari ni tofauti na za uhasibu ama uanasheria! Pia, hakuna mtu aliyewahi kusoma combi 'zote' kisha akaja na upembuzi kuwa PCM ni rahisi kuliko ECA, CBG au KLF.
Grow up kijana.