Ogopa sana kifaa kinachoitwa “Wireless Speaker”

Mimi sijamuelewa kabisa, Spika ya Dodoma na muziki wa Dar!! Hahaahaaaaaaa yaani nimekaa sijalala, natafakari ya kamati ya mnyakyusa mnyamwezi sijapata jibu. Kweli ukaa na mwizi lazima utakuwa mwizi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi tena huenda ukawa umeshaelewa

Sent from my Redmi S2 using Tapatalk
 
Mkuu inahitaji utulivu..usikurupuke kudandia kuchangia..unaweza kuingia mtaroni.
Inawezekana kaelewa ila ni kujitia ujuba ili ionekane haelewi wireless speaker inayozungumziwa ili kuua soo
 
Ukute mtambo ulioko Dar unatumia betri basi unakuwa na ukichaakichaa fulani hivi
 

Hili halipo,.labda kama.umeshindwa ku set
 
Mheshimiwa Naiba Na Supika

You are strong than what you think...
 
Ambae hajaelewa anitafute Pm.... Nimpeleke kwa mganga flani akamboost uelewa wa ubongo wake
 
Speaker inaweza ikapewa onyo icheze mziki wa Dar
 

Je wewe unaweza kupress smart feature kwenye remote yako na kwake kukabadilika? Au ni one way traffic meaning yeye tu ndiye anaweza badili yako japo ni model sawa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…